Recent content by Pastor steven mdoe

  1. P

    Mambo yatakayoigharimu CCM katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Longido

    Duh! Hakuna hata TV eeh? Kama ni ivyo kweli ccm imewaharibu sana
  2. P

    Angalizo: "M" kuwa makini na "K"

    Kikwete alikuwa sahihi sana kutofautiana na huyu jamaaa ila huko tunakoelekea saivi kwa kujikombakomba cdhani kama ni sawa hii
  3. P

    Hasira za Naibu Spika kwa upinzani kuligharimu taifa kiasi kikubwa

    Me nimeelewa sana kusema kweli ila anayetaka kubisha na abishe tu
  4. P

    Natafuta kiwanja Tegeta, Goba, Bunju, Boko

    Mbwei beach 1500sqm bei 60ml
  5. P

    Naomba Tundu Lissu unijibu haya maswali...

    Duh! Hii nchi Yangu inahitaji sana maombi kwa Mungu maana watu waliowengi cjui hata vichwa vyao kama vina ubongo au matope? Maswali gani hayo kweli?
  6. P

    House4Rent Nyumba ya vyumba 2 self inapangishwa

    Sema nini ndg Yangu wala usipate shida wewe unaweza ona kijitonyama ni bora zaidi kwako ila wengine wanaona ununio ni bora zaidi kwao kwahyo tunatofautiana sana! Me nakushauri usikalili maisha
  7. P

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa IPO tegeta masaiti

    Mkuu sidhani kama ni sawa hii!! Ila kama uko tayari me nafikiri ndio maana nimejaribu kueleza hapo kuwa kwa Maelezo zaidi piga cm na ikiwezekana njoo uione na utakuwa huru kuuliza kila swali uonalo vyema kutaka kujua
  8. P

    House4Rent Nyumba ya vyumba 2 self inapangishwa

    Ipo ununio ya pili kutoka barabara ya ununio kwenda Boko, Nyumba zipo mbili kwenye Eneo moja na kila moja ina vyumba 2 vyote ni self, ina seble jiko na public toilet. Kodi yake kwa mwezi ni sh 550,000/= Kwa Maelezo zaidi wasiliana nami kwa 0756060183
  9. P

    House4Sale Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa IPO tegeta masaiti

    Nyumba ina vyumba 3 self IPO ndani ya fance na ukubwa wa Eneo ni 1200sqm Bei yake 300ml Kwa Maelezo zaidi tuwadiliane kwa 0756060183
  10. P

    Kiwanja Bagamoyo Road

    Mkuu Mimi nauza kiwanja changu kipo bunju miazini mita 500 kuingia ndani njia ya dogodogo center kina ukubwa wa mita 20 kwa 40 na bei yake 17ml ila pia tunaweza kuzungumza kidogo Na pia kingine kipo ukivuka daraja la mapinga 2km kuingia ndani kidgo maeneo ya kiaraka Ukubwa mita 20 kwa mita...
  11. P

    Natafuta Kiwanja maeneo ya fuatayo: Mbezi beach Barabara ya Bagamoyo road.

    Zipo heka 3 na bei yake 2m usd zimeface bagamoyo road
  12. P

    House4Sale Nyumba nzuri sana ya kisasa inauzwa, Ipo Kigamboni

    Ndio najaribu kumtafakari kumshangaa ndg yangu
  13. P

    House4Sale Nyumba nzuri sana ya kisasa inauzwa, Ipo Kigamboni

    Tunauza hii Nyumba Ipo kigamboni mtaa wa Tuangoma goroka njia panda ya Jeshi Nyumba ni ya Ghorofa chini chumba kimoja self na Juu vyumba 3 vyote ni self nk Ukubwa wa plot 1500sqm na bei yake 650,000/usd Kwa Maelezo zaidi na ukihitaji kuja kuiona wasiliana nami kwa 0756060183
  14. P

    Plot4Rent Plot inauzwa IPO Goba mjini

    Ndio kimepimwa mkuu
Back
Top Bottom