Kama tuhuma dhidi ya Lowassa zilikuwa za kweli kwa nini aliendelea kuaminiwa na kupewa nafasi nyeti serikalini na bungeni? Mbona kashfa zinazotajwa kuhusu Magufuli hujazitaja (k.mf. mauzo ya nyumba za serikali, samaki wa bahari ya Hindi, vivuko vibovu n.k.). Ni vema ukaonyesha pande zote za...
Uwe mkweli.. Ulikuwa ukitokea Iringa kuelekea Dodoma na ukapishana na basi kama tatu zikielekea Dodoma??? Mlipishanaje wakati nyote mlikuwa mnaenda Dodoma? Jamani mengine .....!
Katika list of shame walikuwemo vizito wengi mbona hawasemwi? Mbona anasemwa mmoja tu. Nafikiri hamtutendei haki wanyonge. Tuambieni na hao wengine wamesafishwa lini? Na nani? Kama walisingiziwa kwa nini aliyewasingizia hakuchukuliwa na hajachukuliwa hatua hadi leo?
Kuna waliokatwa kwa sababu za tuhuma mbalimbali lakini hawakuhama chama na wamo kwenye timu ya kumpigia kampeni mgombea urais wa chama. Hiyo imekaaje, mbone hakuna anaelisemea hilo?
Tunaambiwa Lowasa ni fisadi lakini hatuambiwi ni kiasi gani cha fedha alichopewa ili kufanikisha njama za kulihujumu taifa. Pia dokta alisema kuwa alitoa masharti kuwa Lowasa ajiunge na CDM akiwa kama asset kwa kuhama na wabunge 50, wenyeviti wa CCM wa mikoa 22 na 88 wa wilaya sharti ambalo...
Hivi wale wote aliowataja kwenye "list of shame" pale Mwembeyanga wote wamehamia UKAWA? Mpaka sasa namfahamu mmoja tu na ndiye anae shambuliwa kutoka kila kona, waliobaki kule wamesafishwa na nani? Au ndo mzee mzima anaenda kuwasafisha na kumchafua zaidi yule aliyeondoka huko?
Wana JF
Nimekuwa nafuatilia ahadi zinazotolewa na watia nia ya kugombea urais wa JMT. Karibu wote wanadai kuwa wakipewa ridhaa ya kuingia Ikulu watafuta umaskini kwa Watanzania wakati wa utawala wao. Wengine wanasema wataanzisha au/na watafufua viwanda. Hawajatuambia jinsi gani watahakikisha...
Kwa maoni yangu nafikiri hili ni jambo jema kwa sababu wote wamo ndani ya system, wanafanya kazi pamoja, kwa hiyo wanafahamiana vizuri zaidi kuliko sisi walalahoi tunavyowafahamu. Kwa kutueleza kuwa fulani yuko hivi na yule yuko vile itatusaidia kuwafahamu na mwisho wa siku itaturahisishia kutoa...
Nafikiri tunajaribu kutafuta majawabu rahisi kwa maswali magumu. Hakuna dhamira ya dhati ya kutaka kuboresha elimu ya taifa letu. Watu tunashindwa kujiuliza kwa nini waliosoma zamani walikuwa bora zaidi. Watu waliomaliza darasa la nne walikuwa na bado ni bora kuliko wanaomaliza shule za msingi...
Si kusahau tu, bali zaidi ni umbumbumbu wetu na wale wenye ufahamu kutoelimisha walio gizani na uvivu wa kufuatilia yanayojiri! Wengine kukubali na kupendelea bora liende. Wengine wanausemi "sina shida kwani nakula kwa mtu?"
crabat
Hivi yule askofu mwenye mchepuko wake kule Arusha ambaye habarizake zimeandikwa sana humu ni wa RC? Hana mke? Je na wale walioruhusu ushoga hawana wake au wanakataliwa kuoa au ni tamaa zao tu zinazowasumbua?
Kila mtu atachukua mzigo wake kufuatana na matendo yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.