ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,850
KILA MTU ANAHAKI YA KUPIGA KURA APENDAVYO LAKINI HEBU TAFAKARI HAYA:
LOWASA
Lakujiuliza jee akiwa Raisi wa Nchi na ana power ya juu kabisa nchini, kweli ataona aibu?????
- Awamu ya Nyerere alikuwa na tuhuma za uwizi na kujilimbikizia mali za umma
- Awamu ya Mwinyi alikuwa na tuhuma za uwizi wa mali ya umma
- Awamu ya Mkapa alikuwa na tuhuma za wizi wa mali ya umma
- Awamu ya Kikwete alikuwa na tuhuma ya wizi na kutimia madaraka vibaya
MAGUFULI:
- Awamu ya nyerere alikuwa mwanafunzi katika malezi ya wazazi wake
- Awamu ya mwinyi ndio anainua kichwa kujitegemea
- Awamu ya Mkapa, ndio mwanzo anapewa majukumu, na anafanyakazi vizuri, anapata kashfa ya uuzaji wa nyumba za serekali.
- Awamu ya Kikwete wizara alizopewa zimefanya vizuri kushinda wengine.
Tafakari vizuri na kura yako isaidie kizazi cha leo na kesho.
Kila awamu ana tuhuma ya wizi. Lakini awamu ifuatayo anapanda cheo kufikia PM. Mara hii juu ya tuhuma zote hizo atakuwa raisi. It's called "destiny"