Prof. Muhongo kutangaza nia Juni 2 mjini Musoma

Prof. Muhongo kutangaza nia Juni 2 mjini Musoma

Baraza lake la mawaziri sijui litakuwa je! Nafikiri atashika wizara zote yeye.
 
TAMKO LA PROF MUHONGO LA KUOMBA RIDHAA YA WANA-CCM NA WATANZANIA WENGINE WOTE YA KUONGOZA TAIFA LETU:
Prof Muhongo atatoa Tamko lake kati ya tarehe 2 Juni 2015. atatoa Tamko lake juu ya Tanzania Ijayo (2015-2025++) kabla ya kuchukua Fomu. Wana-CCM wanaombwa wajitokeze kumdhamini Prof Muhongo muda ukiwadia. Taarifa hii mpatie mwenzako. TANZANIA YAKO, TANZANIA YETU.

PROFESA MUHONGO KUTANGAZA NIA JUMANNE TAREHE 2, JUNI UKUMBI WA MCC MUSOMA

Tukio litaanza saa 10 kamili jioni.
Tukio litarushwa live katika TV zifuatazo:
(i) STAR TV,
(II) CLOUDS TV & Radio
(iii) AZAM TV,
(iv) CHANNEL10
(v) Radio Uhuru na
(vi) Radio ya huko Musoma.
TANZANIA YAKO, TANZANIA YETU. Karibuni.
 
Of all the people, Muhongo! Hii ni dharau kubwa kwa Watanzania, tumefanywa jalala!

Kwani anakosa gani mzee, kama una pingamizi nenda mahakamani, acha kuhukumu kwa hisia bila facts.
 
Kirusi cha ufisadi kimemjaa hafai kupewa uongozi hata wa kata
 
Kura atapigiwa na nani? Na hawa watanzania ambao uwezo wao ni wakutengeneza juice tu?

Hiyo mmetafsiri nyie kuwa aliwadharau, profesa aliweka clear kuwa biashara ya gesi pata potea, hicho kiasi kidogo mlichokuwa nacho mfocus kwenye biashara kama juisi. Hivi mtu akikwambia unauza juis kakudharau??! Acha upotoshaji wewe
 
Ufisadi wake uko benki ile waliochotea pesa kwenye Rumbesa inaitwa Stanbic
 
Kirusi cha ufisadi kimemjaa hafai kupewa uongozi hata wa kata

Kafanya ufisadi upi, mana kina tibaijuka na wengine tuliambiwa kiasi.walicholamba, sasa nambie muhongo katajwa wapi. Mbona mnawayawaya na kugwayagwaya
 
attachment.php

Anatangaza nia kugombea urais kupitia chama gani?
 
Back
Top Bottom