Elimu ya Bongo ni kizungumkuti

analaizi

JF-Expert Member
Mar 8, 2014
1,351
186
Wabunge wanatwanga maji Bungeni.Lugha ya KISIWANI haitainua Elimu kamwe.kiswahili kina asili ya uvivu na unyonge.linganisha bunge la kenya na tz utaona letu halina ......kiswahili hakihamasishi uandishi wa vitabu.JAMANI turudi kwenye kiingereza.tusione soni
 
Taifa masikini kama hili kutumia lugha ya kiswahili kwaajili ya kufundishia ni ngumu kwani uchumi wenyewe duni,chamsingi serikali ifanye yafuatayo ili kuinua elimu; 1.Kuboresha mitaala inayotumika shule za misingi na sekondari ili mitaala hyo iendane na mazingira yetu. 2.kuboresha masilahi ya alimu,walimu wanaishi maisha duni,huku wakiidai serikal mabilioni ya pesa kitu kinachoelekea kufanya migomo baridi yaani BORA LIENDE. 3.Kuipa nguvu ya fedha idara ya ukaguzi kwa shule za misingi na sekondari,shule nyingi hapa nchini hazikaguliwi mara kwa mara na hii ni kwa sababu idara ya ukaguzi haina pesa kwaajili ya kufanyia shughuli hiyo.
 
Wabunge wanatwanga maji Bungeni.Lugha ya KISIWANI haitainua Elimu kamwe.kiswahili kina asili ya uvivu na unyonge.linganisha bunge la kenya na tz utaona letu halina ......kiswahili hakihamasishi uandishi wa vitabu.JAMANI turudi kwenye kiingereza.tusione soni

KWELI JAMII FORUM IMEVAMIWA.KUNA UHUSIANO GANI KATI YA LUGHA NA MAENDELEO?WANGAPI WANAONGEA KIENGEREZA NA NI MASIKINI.KISWAHILI NI LUGHA nzuri zaid ya kichina ama kikorea.maendeleo ndio yanayokuza lugha na wala sio lugha inayokuza uchumi.usiwe mvivu wa kufikiria.
 
Huwezi kutumia Kiswahili wakati hata uchumi wako unategemea mataifa mengine. Huu ni uongo wa mchana kabisa. Kwa nini hawa viongozi hawalioni hili? Mbona kuna nchi nyingi tu zimepiga maendeleo Africa zaidi yetu kwa kutumia Kiingereza kufundishia? wanataka kumfurahisha nani? Ndo haya haya ya Physics-Chemistry ambayo hata matunda yake hayapo. Kiswahili chenhyewe ukigoogle baadhi ya maneno huwezi kupata translation yake, kwa nini wasianzie huku? Hapa ni kudanganya watu tu waendelee kuburuzwa. Wao wenyewe sharia zao wanatunga kwa kiingereza
 
KWELI JAMII FORUM IMEVAMIWA.KUNA UHUSIANO GANI KATI YA LUGHA NA MAENDELEO?WANGAPI WANAONGEA KIENGEREZA NA NI MASIKINI.KISWAHILI NI LUGHA nzuri zaid ya kichina ama kikorea.maendeleo ndio yanayokuza lugha na wala sio lugha inayokuza uchumi.usiwe mvivu wa kufikiria.

Kama kiingereza huwezi usiogope utajifunza hatua kwa hatua.kiswahili lugha ya kinyonge sana na asili yake ni utumwani.soko la dunia halijui kiswahili.machapisho ya kiswahili ni kudunduliza.nilimuona mtangazaji mmoja mzoefu anahoji watu kizungu akihangaika sana inabidi atumie mikono kutoa ishara maana msamiati umemuishia.Mwakyembe ameshaona shida wanazopataw wabunge wetu EAC.TUTAKUFA NA TAI SHINGONI
 
naunga mkono hoja. ila iedit habari yako ilete mtiririko mzuri. mfano kisiwani ndo nini?

Wabunge wanatwanga maji Bungeni.Lugha ya KISIWANI haitainua Elimu kamwe.kiswahili kina asili ya uvivu na unyonge.linganisha bunge la kenya na tz utaona letu halina ......kiswahili hakihamasishi uandishi wa vitabu.JAMANI turudi kwenye kiingereza.tusione soni
 
Nafikiri tunajaribu kutafuta majawabu rahisi kwa maswali magumu. Hakuna dhamira ya dhati ya kutaka kuboresha elimu ya taifa letu. Watu tunashindwa kujiuliza kwa nini waliosoma zamani walikuwa bora zaidi. Watu waliomaliza darasa la nne walikuwa na bado ni bora kuliko wanaomaliza shule za msingi sasa. Waliomaliza darasa la nane walikuwa na ni bora kuliko wanaomaliza kidato cha sita sasa. Waliomaliza darasa la kumi waliweza kwenda Chuo kikuu moja kwa moja. Walikuwa wazuri si kwa lugha (Kiingereza na Kiswahili) lakini hata kwa hisabati na sayansi kwa ujumla(linganisha waandishi wa vitabu vya Kiswahili na Kiingereza wa zamani na sasa). Tusione aibu kugeuka nyuma. Tuchunguze ni nini kilikuwa kikifanyika huko nyuma kupata mafanikio na tunafanya nini sasa kwa mafanikio mabovu tunayo yapata sasa. Ukiangalia waheshimiwa wetu wanaoshabikia Kiswahili wao wenyewe utakuta hawawezi kuongea Kiswahili kwa ufasaha (huchanganya Kiswahili na Kiingereza) sijuwi ni kwa maksudi au ni kujifanya wao ni zaidi!! Tofauti na jirani zetu wakiamua kuongea Kiswahili wanaongea Kiswahili kizuri mpaka unapenda!! Achana na lafudhi maana hata hapa kwetu Kiswahili kina lafudhi tofauti kutegemea na lugha mama ya mzungumzaji. Ni vema tuboreshe ufundishaji wa Kiingereza na hisabati kuanzia chechea ili watoto wapende na waijue lugha hiyo na hisabati, hatutakuwa na shida huko mbeleni kufundisha masomo mengine kwa kimombo!!
 
naunga mkono hoja. Ila iedit habari yako ilete mtiririko mzuri. Mfano kisiwani ndo nini?

halafu wajameni tamisemi imelundukiwa mambo mengi mno.haina uwezo.vizuri tamisemi ibaki na shule za msingi.kuanzia secondary hadi university zirudi wizara ya elimu
 
Nafikiri tunajaribu kutafuta majawabu rahisi kwa maswali magumu. Hakuna dhamira ya dhati ya kutaka kuboresha elimu ya taifa letu. Watu tunashindwa kujiuliza kwa nini waliosoma zamani walikuwa bora zaidi. Watu waliomaliza darasa la nne walikuwa na bado ni bora kuliko wanaomaliza shule za msingi sasa. Waliomaliza darasa la nane walikuwa na ni bora kuliko wanaomaliza kidato cha sita sasa. Waliomaliza darasa la kumi waliweza kwenda Chuo kikuu moja kwa moja. Walikuwa wazuri si kwa lugha (Kiingereza na Kiswahili) lakini hata kwa hisabati na sayansi kwa ujumla(linganisha waandishi wa vitabu vya Kiswahili na Kiingereza wa zamani na sasa). Tusione aibu kugeuka nyuma. Tuchunguze ni nini kilikuwa kikifanyika huko nyuma kupata mafanikio na tunafanya nini sasa kwa mafanikio mabovu tunayo yapata sasa. Ukiangalia waheshimiwa wetu wanaoshabikia Kiswahili wao wenyewe utakuta hawawezi kuongea Kiswahili kwa ufasaha (huchanganya Kiswahili na Kiingereza) sijuwi ni kwa maksudi au ni kujifanya wao ni zaidi!! Tofauti na jirani zetu wakiamua kuongea Kiswahili wanaongea Kiswahili kizuri mpaka unapenda!! Achana na lafudhi maana hata hapa kwetu Kiswahili kina lafudhi tofauti kutegemea na lugha mama ya mzungumzaji. Ni vema tuboreshe ufundishaji wa Kiingereza na hisabati kuanzia chechea ili watoto wapende na waijue lugha hiyo na hisabati, hatutakuwa na shida huko mbeleni kufundisha masomo mengine kwa kimombo!!

Kiswahili ndio mzigo wa Elimu nchini.tukijifanya shingo ngumu itakula kwetu.vyuoni kuelewa mambo na kujieleza taabu.graduates wetu utawahurumia ktk interview.ni shida
 
Mie naamini kuwa kiswahili kinatumika kututawala kudidimiza tabaka la chini. Hata hii TAHOSSA kwa sekondari wanaharibu kabisa.
 
mkuu hilo swala ni gumu sana. kumbuka kuwa sasa hivi kuna ongezeko la zaidi ya mara 10 ya shule za sekondari. kwa maana ingine popote pale shule za sekondari zitakapotupiwa bado itakuwa ni mzigo mzito kwa wizara husika. ni suala linalotakiwa kuangaliwa na kuratibiwa kwa makini sana kuliko watu wanavyofikiria.

halafu wajameni tamisemi imelundukiwa mambo mengi mno.haina uwezo.vizuri tamisemi ibaki na shule za msingi.kuanzia secondary hadi university zirudi wizara ya elimu
 
Back
Top Bottom