Wabunge wanatwanga maji Bungeni.Lugha ya KISIWANI haitainua Elimu kamwe.kiswahili kina asili ya uvivu na unyonge.linganisha bunge la kenya na tz utaona letu halina ......kiswahili hakihamasishi uandishi wa vitabu.JAMANI turudi kwenye kiingereza.tusione soni