Sisi uku kwetu tunampenda sana sana tena mpaka miji ya jiran mtaa wetu wanauita mahakama ya nguruwe afu nguruwe anakufanya uwe na nguvu na mwili wenye afya
Kwa bongo movie wamepoteana ata wauze CD zao buku bado watakalishwa coz wanachofanya utumbo tupu kwangu labda za akina majuto Ringo tin Hao kidogo wanaeleweka zaidi nawakubali akina zhuezeng Lee gangmo jixhua namaanisha season ata buku 5 wauze mtanunua sio bongo movie na ningepewa uwaziri...
Apo bashite kapata tena zero hawa bongo movie wamepoteana sana Yaani ukiangalia movie zao afu tafuta za wanaijeria wao wanatubadilishia lugha tu kila kitu copy tu na mazingira yao mabovu afu ndio tununue buku 5 na walichokifanya ujinga tupu afu film mzima imeigizwa na watu 4 tu afu aina...
Kwan siku hizi dini ndio zimekua chombo cha kukosoa serikali au nyie ndio mlitegemea sisi wakatoliki tuwatetee wakati sio kazi katoliki Kama hali ngumu ya maisha wote tunaishi hivyo hivyo kwa hiyo usitegemee kutetewa na mwenzio Kwan nyie mlishawai kuandika waraka mkaupeleka au ukujui kwa...
We unafikiri angekulipia bili hiyo ungeachwa hivihivi ata kama mpo tim mzima lazima ungepigwa nyingi Ata hivyo ujamalizia nan alikutoa police inaonekana meneja alikufuga ukawa Kama mkewe mpaka den likaisha
Kama walishindwa kuufungia ule pale Kati patam ambao ulikua na sifa zote za kuufungia huu unastaili uendelee kupigwa Kwan ngoma tam sana afu Imetoka kipindi kizuri yaani huyu atakua super sub
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.