Yaan ukija hapa kwa daladala za KIGAMBONI ni kero kubwa sana.. unakuta gari inatakiwa kushusha ipakie kuelekea MKURANGA au VIKINDU... au TUANGOMA.. wanakata route.. wanaishia KIBADA... aafu wanarudi tena Ferry... Kwa ule ukweli wanatutesa sana
HIVI NI SABABU zipi zimepelekea kuchelewa kwa mishahara ktk hizi HALMASHAURI?... nasikia vimaneno ooh CRDB ndo wamechukua Dhamana ya kuandaa pesa toka hazina afu ndo ziende NMB... sasa wameboresha au ndo wanaharibu?
Yetu ya tanzania yametushinda..... Kwani tabia ya kagame ni akheri mara mia anawanufaisha wa nchi yake hadi primary school wanagawiwa laptop za kujifunzia... Kuliko ss tanzania utajiri humo mikononi mwa wachache huku wananchi wake ni maskin wa elimu hadi kimaisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.