Tunadhalaulika kwa kuingia UCHUMI WA KATI sio? Kuna mamutu humu masenge kweli. Kwahiyo tungekufungia ndani kwa LOCKDOWN ndiyo ungeonekana wa maana sana huko mataifani? Manyok sana wewe.
Wewe ni mupumbavu sana. Elimu ya mzungu imekufubaza ubongo. Nyie ndiyo watu tegemezi ambao hamtakuja kujitigemea kamwe bila mzungu. Nyie ndiyo virusi katika bala la Afrika.
Dawa za korona ambazo zimefanyiwa utafiti na kuthibitishwa na mkemia mkuu wa serikali ni BUPIJI, COVIDOL, PLANET++, FUKIZA UDANOL na nyingine nyingi zote kutoka Tanzania. Wewe unazungumzia dawa gani nyingine ya corona iliyopatikana huko mataifa?
Hakuna udhaifu katika kutengua. Usipotekeleza majukumu yako kama kiongozi utatenguliwa tu na wengine watachukua nafasi yako. Tanzania ina watu millioni 66 ikibidi kila mtu ataongoza tu tutabadilishana uongozi mpaka kieleweke.
Upinzani Tanzania umejifia kutokana na:
1. Elimu bure msingi mpaka sekondari
2. Umeme kila kijiji
3. Vituo vya afya kila kijiji
4. Miradi ya maji kila mahali
5. Kukomesha wizi na ufisadi
6. Vita dhidi ya rushwa
7. Nidhamu utumishi wa umma
8. Wanyonge kwanza
9. Kufufua huduma za reli
10. Ujenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.