Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,045
- 15,378
Tafuta mbegu ya bitter cola..twanga unga wake mwagia uwanjani kwako..hagusi nyoka
Mkuu kwenye mambo jadi uko vizuri
Tafuta mbegu ya bitter cola..twanga unga wake mwagia uwanjani kwako..hagusi nyoka
Mimi au umefananisha mpendwaMkuu kwenye mambo jadi uko vizuri
Tafuta mbegu ya bitter cola..twanga unga wake mwagia uwanjani kwako..hagusi nyoka
Mimi au umefananisha mpendwa
Piga baba yetu ulie mbinguni ile.Nisali sala ipi mkuu? Na vipi kama ni nyoka aina nyingine.
Ukiumwa na koboko ukaleta story za kuweka hilo jiwe,hakikisha umetafuta waimbaji kabisa wa nyimbo za msiba ndo uendelee na mengineYanauzwa wapi na Je ni kweli linafanya kazi vizuri au ni uzushi tu stori za kuwaondolea hofu watoto waende shambani wakalime?
Mkuu kama una vipesa, andaa hata ng'ombe 3 nenda vijijini huko katafute mababu uwape wakuoneshe dawa.Mwaka kesho natimiza umri wa miaka 40 na kama bajungu basemavyo kwamba Life begins at 40 kwa hiyo ninampango wa kuhamia na kwenda kuishi kijijini mbali kabisa nimeishaanza kujenga jumba langu la kifahari palace ndogo yani msoga of my own making hekalu kwa namna nyingine.
Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.
Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?
Ushauri wako ni upi tofauti na jiwe?Ukiumwa na koboko ukaleta story za kuweka hilo jiwe,hakikisha umetafuta waimbaji kabisa wa nyimbo za msiba ndo uendelee na mengine
asilimia 85 ya nyoka wote hawana sumu,hivyo mtu alipoona ameumwa na nyoka bila kujua ana sumu au hanaUshauri wako ni upi tofauti na jiwe?
Mkoa gab huo chiefNakumbuka kuna shule nilisoma olevel ina nyoka balaaa. Kwenye Joining instruction wameagiza mwanafunzi aje na jiwe la nyoka.
Toka naanza form 1 hadi form 4 nilikuwa natembea na jiwe kiuoni kama hirizi. Huko kwenye viunga ni kukutana na nyoka mwanzo mwisho
😀😀 JamaniSi naona unatoa elimu ya jadi juu ya kufukuza nyoka
Shule ipi hiyo?Nakumbuka kuna shule nilisoma olevel ina nyoka balaaa. Kwenye Joining instruction wameagiza mwanafunzi aje na jiwe la nyoka.
Toka naanza form 1 hadi form 4 nilikuwa natembea na jiwe kiuoni kama hirizi. Huko kwenye viunga ni kukutana na nyoka mwanzo mwisho
Kabisaaaaah hapa uko sahihi.Tafuta mbegu ya bitter cola..twanga unga wake mwagia uwanjani kwako..hagusi nyoka
Shule ipi hiyo?