Paramagamba
Member
- May 12, 2017
- 85
- 129
Mwaka kesho natimiza umri wa miaka 40 na kama bajungu basemavyo kwamba Life begins at 40 kwa hiyo ninampango wa kuhamia na kwenda kuishi kijijini mbali kabisa nimeishaanza kujenga jumba langu la kifahari palace ndogo yani msoga of my own making hekalu kwa namna nyingine.
Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.
Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?
Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.
Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?