Niking'atwa na nyoka usiku nifanye nini?

Niking'atwa na nyoka usiku nifanye nini?

Nyoka wenye kichwa triangular ndo wenye sumu, hawa wenye kichwa rounded hawana sumu
 
Uwe unachoma kipande cha tairi la gari kila siku jioni. Nyoka hawapendi harufu ya tairi linaloungua.
 
Mwaka kesho natimiza umri wa miaka 40 na kama bajungu basemavyo kwamba Life begins at 40 kwa hiyo ninampango wa kuhamia na kwenda kuishi kijijini mbali kabisa nimeishaanza kujenga jumba langu la kifahari palace ndogo yani msoga of my own making hekalu kwa namna nyingine.

Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.

Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?
Mpigie paramagamba kabudi.
 
Yanauzwa wapi na Je ni kweli linafanya kazi vizuri au ni uzushi tu stori za kuwaondolea hofu watoto waende shambani wakalime?
Kuna feki na original... Haya mawe ukipata lenyewe hasa nyoka akikuuma fasta lichukue na kuliweka pale ulipoumwa na litang'ang'ania pale na kufyonza sumu yote na ikiisha litaanguka chini. Tabora huko ndiyo unaweza agiza ukapata la ukweli.
 
Kama unaenda kijijini na unahofu ya nyoka, jitahidi upate jiwe la nyoka yale yakufyonza sumu, ukiwa na tumbaku ndani sio mbaya pia. Hilo jiwe unachanja halafu unaligandisha hapo sehemu ulipong'atwa, likidondoka unalichemsha then unalirudisha tena mpaka liwe haligandi kabisa hata baada ya kulichemsha. Tumbaku unalamba baada ya kung'atwa pia yasaidia kuondoa sumu.
All in all, uende hospitali punde baada ya kung'atwa.

Ila hekaluni, nyoka hafiki bhana.
 
Mwaka kesho natimiza umri wa miaka 40 na kama bajungu basemavyo kwamba Life begins at 40 kwa hiyo ninampango wa kuhamia na kwenda kuishi kijijini mbali kabisa nimeishaanza kujenga jumba langu la kifahari palace ndogo yani msoga of my own making hekalu kwa namna nyingine.

Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.

Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?
Mtoe wako atemee mate pale ulipo ngatwa pia Kunywa na mate yake
 
Kama nyoka wenyewe ni koboko,kinga ni bora kuliko tiba.

Nunua helmet uwe unashinda nayo ukiwa masikani,wale jamaa hupendelea kugonga utosi/kichwa zaidi.

Halafu tafuta na hili buti chini kwa ajili ya wenginao.
uyo jamaa ana matege mabaya
 
Mwaka kesho natimiza umri wa miaka 40 na kama bajungu basemavyo kwamba Life begins at 40 kwa hiyo ninampango wa kuhamia na kwenda kuishi kijijini mbali kabisa nimeishaanza kujenga jumba langu la kifahari palace ndogo yani msoga of my own making hekalu kwa namna nyingine.

Sasa huko ninapotarajia kuhamia ni porini sana na inasemekana koboko wapo.

Nimeona ni vema kuja kuchukua maarifa kwenu wandugu nikipatwa na dharula kama hiyo ya kung'atwa na nyoka hasa usiku nijiokoe vipi?
Ukingatwa na nyoka usiku inatakiwa ulale mpake asubuhi ndipo uendeleze mishe zako
 
Kwamba kila siku mzee?
Tumia vizuia nyoka na vifukuza nyoka nyumbani au mashambani.
.Panda mti upo Kama muhogo uitwa mnyokanyoka.
.Panda michaichai kuzunguka nyumba.
.Ingia amazon, ebay, alibaba, IndiaMART ulizia snake repellent zipo za KILA aina na Kazi zake.
India wamebuni vifaa Kama sensor utoa mawimbi ya mtetemo umbali wa mita 50 kuzunguka degree 360 kinawekwa chini shambani nyoka yeyeto asogei mita 50 ulipo uhisi ni hatari zaidi,kilibuniwa kwa lengo la kumaliza tatizo la vifo vya wakulima mashambani tokana na kuumwa nyoka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom