Sumaye huoni aibu?una shamba mvomero ,dar una shamba pia na labda kwingineko hatujui. hivi nchi hii mlitaka kujimilikisha kila kitu?. Ubaya zaidi hamkufuata utaratibu, mlijichukulia tu kwasababu ni shamba la bibi. Shame on you. Huwezi kuchukua ardhi yote mwenyewe wakati watanzania wanataabika...
Kuna takwimu zinatolewa humu za ajabu kweli. huyu jamaa ni mlevi na hana sifa za kuwa rais bora. Rais bora kwa sasa ni Magufuli, ukitaka kujua fuatilia nchi za wenzetu wanavyo mu admire kwa utendaji wake. mfano halisi ni WB ambayo kupitia kwa rais wake wameikubali tz chini ya uongozi wa magufuli...
Sitta tunayemfahamu siyo yeye tena, tumuombe Mungu atupe afya njema tuone atapewa nini na chama chake. Nadhani alichoahidiwa sijui anajua yeye peke yake ila sina hakika kama atapewa kutokana na hali halisi ya chama chake hasa ukizingatia aivyoliongoza bunge la 9 kwa umahiri akiwa spika kwa kutoa...
Hawa voda wezi kabisa,siku zote nimekuwa nikijiuliza hivi watu hawaoni huu uhuni wa hawa jamaa.Mbaya zaidi ukipiga ile wanayoita huduma kwa wateja utachoka,they care at all.Bado sijafanya maamuzi ya kuitupa line yao ila siku siyo nyingi nitaitupa chooni
Kuna utata mkubwa sana wa maelezo ya Ufoo,unapoambiwa nimeamua kujiua na mtoto wetu pia,nadhani lazima angemuuliza kwanini?baada ya majibu,angeweza kumsoma na kufahamu how serious is he and what do for the sake of the family.Mtu anapozungumza suala la kuua au kujiua ni lazima uwe makini nae.kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.