Watu kwa sasa wanahitaji delivery na sio porojo, she might be good at speech but when there is no action its a futile work
Katibu mkuu ukiwa kama mtendaji mkuu, hivi hili hulioni kweli?? Au mnataka wananchi hadi tuandamane ndio mtuelewe???
Wizara ya Ardhi ilishindikana toka zamani. EL aliishindwa. Pamoja na mageuzi na jitihada zote, Pombe Magufuli hakufua dafu! Imagine kwenye lango kuu pale kuna akina mama na Laptop kila mmoja, eti kazi yao ni kuandika kila aingiaye ndani ya jengo. Wanafanya hivyo bila verification yoyote ya majina wanayotajiwa au sehemu/idara waendapo. Total wastage of money and human resource. Tatizo kubwa la Wizara hiyo ni BMW. Kila kiongozi anaye mtoto, ndugu, mjomba nk ndani ya wizara. Kazi ni kulindana! As for the Honourable Minister, no issue is small or straightforward. Once it gets to her desk, it will be donkey years before it is resolved; often times after relentless meaningless or irrelevant queries. SOLUTION? Establish an independent commission to verify its systems and procedures with a view to streamlining them. The commission should also VET ALL EMPLOYEES......na kupeleleza ukwasi wao wa fedha, mali na viwanja! Someone recently told me that one out of every three undeveloped plot in Mbezi, Mtoni Mtongani, Salasala and even Boko, belongs to an official of the lands ministry....under a false name, of course!
Wamevuruga vibaya wala sio mchezo. Nyie si mmezoea siasa na MMU tu ndizo mnachangia, linapokuja suala la maeneo nyeti wala hamongei kabisa.
Nashauri apewe Dr.Magufuli hata kwa muda airekebishe
Tibaijuka unafanya nini?
Iwe kama makampuni ya simu na TTCL, hii ndiyo itakuwa mwarobaini
Hii wizara imeoza kabisa ikifuatiwa na elimu. Mimi miaka nenda rudi sijafanikiwa kupata hati ya viwanja vyangu viwili huku mbezi. Kila mwaka naenda si chini yaiezi mitatu lakini hakuna chochote ninachoambulia. Nikatonywa juzi kuwa bila chochote faili halisogei! Mimi kila mwaka nalipia kodi ya viwanja vyangu nastahili kupata hati lakoni ndio hivyo tena. Uozo huu unarekebishika kwa kuitoa ccm madarakani basi! Hakuna uwajibikaji kabisa sababu ya kubebana. Its a shame mama Tiba hata lile ghorofa wamegoma kubomoa na wewe umekaa kimya!
Tuambiane ukweli jamani, hakuna utendaji wa kazi kwa dhati kila sehemu. Kwani kazi ni kujituma sio bosi tu awe nyuma yako na hii kwetu hapa ni wavivu au we don't care as long as we get salary
They are the problem for poor town planning!! Badala ya kutenga hela kufanya planning wao wanasubiri surprise!! Fikiria walitenga TZS 32BILLION KUFIDIA KIGAMBONI; WAKATI HIZI HELA ZINGETOSHA KUMLIPA INDEPENDENT TOWN PLANNERS WAKAFANYA PLANNING NA PROJECTION YA MIJI YETU KARIBIA YOTE TANZANIA!! 32 BILLION? POOR MY COUNTRY NO PLANNERS, NA HUYU MAMA NAE ANATAKA "URAHISI"
Kila kitu Magufuli, tunamtwisha mizigo mingi! Hakuna wengine wanaoweza miongoni mwetu watz mil 43??? akiondoka alipo barabara zote zitashukuriwa kawambwa!
Atafutwe mwingine aliye capable kama magufuli! Mwaibula yupo wapi?