Habarini wana JF,
Nimeamua kuanzisha hii thread maalum kwa ajili ya wadogo zetu na kaka zetu ambao walichaguliwa kujiunga na masomo ya elimu (bachelor degree and masters) lakini kwa bahati mbaya au nzuri hawakuwa wanufaika wa mkopo wa elimu ya juu (HESLB)
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanafunzi...
Katika global world hii leo wanandoa na hata wapenzi wamekuwa hawaaminiani kabisa kutokana na maendeleo ya kiteknolojia
Wanaume weng wamekuwa wakiamini kuwa wakifanyiwa baadhi ya mambo ndio indicator ya real love. Kwa mfano
1. Kuwekwa na mpenzi wake d.p
2. Kupeana passwords za social network...
Habari wana jukwaa.
Wakuu naomba msaad kama mtu anafahamu taratibu za kufuata baada ya kupoteza academic certificate ya form four na inahitajika original kwenye registration chuon first year
Msaada tafadhali
Usitumie lugha chafu
Mamb kam haya ndo yanatufanya watanzania tufeli
Tunakaa ku discuss na kuangalia wap alipoteleza mheshimiw tumkosoe we r wrong
Tujatahid kujadili mamb yanayojenga kimsingi
Watanzania wengi wamekuwa ni mtazamo hasi kuwa walichokifanya tar 25 Oct si sahihi kwa kuwa walichoahidiwa majukwaani juu ya mabadiliko ya kweli hawaoni kikitekelezwa kama walivyotarajia.
Wanafunzi wamekuwa wakilalamika juu ya hatma ya mikopo yao na kuona kuwa serikali haiwatendei haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.