Kupoteza academic certificate

Kupoteza academic certificate

papakitope

Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
17
Reaction score
3
Habari wana jukwaa.

Wakuu naomba msaad kama mtu anafahamu taratibu za kufuata baada ya kupoteza academic certificate ya form four na inahitajika original kwenye registration chuon first year
Msaada tafadhali
Usitumie lugha chafu
 
Toa ripoti polisi,then nenda necta,watakupa notification baada ya wewk mbili. Academic cert inatolewa only once
 
Habari wana jukwaa.

Wakuu naomba msaad kama mtu anafahamu taratibu za kufuata baada ya kupoteza academic certificate ya form four na inahitajika original kwenye registration chuon first year
Msaada tafadhali
Usitumie lugha chafu
wimbi la upotevu wa vyeti limekuwa kubwa baada ya uhakiki wa vyeti hivyo hivyo,wizarani nenda lakini uende na living,result slip,id ukumbuke index number maybe utapata msaada!
 
wimbi la upotevu wa vyeti limekuwa kubwa baada ya uhakiki wa vyeti hivyo hivyo,wizarani nenda lakini uende na living,result slip,id ukumbuke index number maybe utapata msaada!
Kwan kuna uwezekano wa kukirenew mkuu
 
Back
Top Bottom