Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 26,323
- 96,879
Hahahhahh[emoji28][emoji28]umenikumbusha rafk yng mmoja alikua anataman apate mtot bas mwenzie hakua tayari basi kila waki do holaaa yule dada ananiambia yaani nimeinua miguu juu ili zisimwagike hata moja lakni wapiii[emoji28][emoji28]ukifik mwsh w mwwz anaingi mp[emoji28][emoji28]haah lakm mwsho wa siku neema zakw Muumba zilimfikia na amekua mama saaa hvi kwa huyohyo baba ilibdi akubali tu hahaha
so, Insha allah utaitwa tu very soon[emoji5] [emoji5]
Na baba wa mtoto kakubali fresh tu??
Ila mi nilikua nasemea baba angu ndio hataki niwe na mtoto sa ivi