Wanaume wengi ni 'sperm donors'

Wanaume wengi ni 'sperm donors'

Hello jf,kwa utafiti mdogo nilioufanya nimegundua kuwa wanaume wengi ni sperm donors na wababa ni wachache sana.
Asante kwa kulitambua hilo. Mtaa ninapoishi mabinti wabichi kbsa wamezalishwa, wengine mtoto 1, na wengine watoto 2 na kila mmoja ana baba yake. Cha kushangaza majukumu yote anabeba mwenyew.
Inasikitisha sana. Kwa kweli roho yangu huwa inahuzunika sana.
Kuna mwingine ni mzuri, kaumbika lkn ndiyo hivyo kazalishwa.
Km unaona huwezi kulea. Tumia condom
 
Asante kwa kulitambua hilo. Mtaa ninapoishi mabinti wabichi kbsa wamezalishwa, wengine mtoto 1, na wengine watoto 2 na kila mmoja ana baba yake. Cha kushangaza majukumu yote anabeba mwenyew.
Inasikitisha sana. Kwa kweli roho yangu huwa inahuzunika sana.
Kuna mwingine ni mzuri, kaumbika lkn ndiyo hivyo kazalishwa.
Km unaona huwezi kulea. Tumia condom
Alaumiwe nan sas sperm donors au incubators
 
Ndo wakikimbiw wanaanz laumu akat itz too late wangewez kukataa mapem yte yasingetokea
 
Amna n mtazam tu nime kerwa n ilo jina 'sperm donor' au we linakufurahisha mkuu
 
Haahahaha joanah hahah umama sio mchezo lakini ...m nasemaga ukiamua kua mama sacrifice five years ya kua busy....wadada weng wa mujini wakifikiria hvyo mmh wanaamua wapeleke sperm toiii....
Basi mimi hakuna ninachotamani kama kuwa mama kwa muda huu sema ndo ivo tu baba hataki[emoji17] [emoji17]
 
Basi mimi hakuna ninachotamani kama kuwa mama kwa muda huu sema ndo ivo tu baba hataki[emoji17] [emoji17]
[emoji28][emoji28]umenikumbusha rafk yng mmoja alikua anataman apate mtot bas mwenzie hakua tayari basi kila waki do holaaa yule dada ananiambia yaani nimeinua miguu juu ili zisimwagike hata moja lakni wapiii[emoji28][emoji28]ukifik mwsh w mwwz anaingi mp[emoji28][emoji28]haah lakm mwsho wa siku neema zakw Muumba zilimfikia na amekua mama saaa hvi kwa huyohyo baba ilibdi akubali tu hahaha
so, Insha allah utaitwa tu very soon[emoji5] [emoji5]
 
Back
Top Bottom