Hii ndo style yangu na ukinikuta tunavopiga cheers na liquor visungura na vikonyagi unaweza sema huyu mwingine dish limeyumba kumbe tunatafuta stim kali ya fasta kuendelea kuwaza dili za hela
Kwanza tambua wewe ni mtu mzima na ushavuka 18yrs kama bado basi umeenda tofauti na ulivofundishwa biology secondary na bado hujafika 18
Kubaliana na litakalotokea huna wa kumlaumu mambo ya gono, Uti, kaswende na mengineyo.
Jua ya kwamba mimba inaeza kutokea na sio kuanza kulaumu vidonge na...
Alaf wengine ukijipeleka kwao ndo unaenda kuwa home boy yaani utahudumia mifugo na kuangalia bustani mpaka kichwa kikukae sawa uondoke...kazi to kazi kama wanakulipa vile
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.