Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,447
- 3,420
Salaam,
Huwa nastaajabu sana humu kwa baadhi ya wanandoa wakituhasa vijana ya kuwa kuoa sio guarantee yakupewa tendo utakavyo. Wengine wanadai inawafikia hadi mwezi wanabaniwa.
Nachofahamu mim suala la kupewa game kwa mwanaume ni haki yake, mwanamke hata akifosiwa sidhani kama akienda kwao kushtaki atasikilizwa.
Swali: Hivi kwani kuna kesi ya ubakaji kwa wanandoa katika mamlaka hadi yawakute yanayowakuta?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Huwa nastaajabu sana humu kwa baadhi ya wanandoa wakituhasa vijana ya kuwa kuoa sio guarantee yakupewa tendo utakavyo. Wengine wanadai inawafikia hadi mwezi wanabaniwa.
Nachofahamu mim suala la kupewa game kwa mwanaume ni haki yake, mwanamke hata akifosiwa sidhani kama akienda kwao kushtaki atasikilizwa.
Swali: Hivi kwani kuna kesi ya ubakaji kwa wanandoa katika mamlaka hadi yawakute yanayowakuta?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app