Hakuna lolote la ajabu kwenye usaili wa kwenda monduli. Kinachoongezeka pale sana sana ni Oral Interview to mention but a few. Mengine ni kama yale ya kuingia jkt
Elimu huachwa getini kwa muda mfupi. Ila ukifika muda wasomi wanaenda monduli, hapo ndo wengine hujutia kwann walikimbia/waliacha shule. Maana hapo ndo umuhimu wa shule huonekana
Sababu no 1
Mfumo wa utawala na madaraka wa jeshi
Mfumo wa jeshi upo kama wa vile ulivyokua mfumo wa elimu wa kikoloni, yaani una shepu ya piramidi ( pyramid ). Yaani jeshi linakua na maofisa wa ngazi za juu wachache, wa ngazi za kati wengi kidogo na maaskari ambao ndo wapiganaji wengi. Kama...
Movie na stori nyingi za vijiweni mara nyingi hupotosha ukweli. Cleopatra hakua mzuri na wala hakusifika kwa uzuri. Bari alisifika kwa kua na akili na ivyo kumfanya aweze kua na uwezo wa kuwapata wanaume wenye nguvu za kimadaraka kama Julius Caesar na Marc Anthony. Ambao wote walikua wamemzidi...
Ulisema kuna watu wanaelimu na hawajaenda TMA, alfu unakuja kuzungumzia watu ambao walikua na elimu, walio maliza mafunzo ya jkt,kukosa kwenda tpdf. Hakuna uhusiano kati ya hili unalosema sasa na yale uliyosema mwanzo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.