Recent content by panthers

  1. panthers

    Zantel ndio plan B baada ya halotel kutubadilishia Gia angani

    Hawa jamaa wa halol tel wanzingua jamaaa
  2. panthers

    Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

    Pole MKUU Tukushukuru kwa taarifa Mungu akubariki
  3. panthers

    Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

    Karibu mjomba
  4. panthers

    Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

    Imepigiwa ROMBO...
  5. panthers

    Wale wa Kilimanjaro tukutane hapa...

    Kama umetokea mkoa huu drope seven ulikotoka nia ni kujuana ili tuweze kutembeleana msimu huu wa holiday. Wageni unaitaja sehemu unayotaka kutembelea[emoji7]
  6. panthers

    Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

    Source ya takwimu is mzee baba Tathimin hii imefanywa na nchi gani mzee baba
  7. panthers

    Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    Hili wimbi LA wanasiasa kuhama kutokachama kimoja kwenda kingine, ni kukua kwa democrasia,[emoji14] ,ulafi wa madaraka,kukwepa kashafa ndani ya vyama vyao. Sisi watawaliwa tunafaidika au tunanyonywa kwani kuna uchaguzi midogo inayofanyika ili kuziba mapengo, na inahita mkwanja ....mungu ibariki...
  8. panthers

    JWTZ kwanini hawatangazi ajira kwa graduates?

    Graduates mpka mastazz wapi kibao jkt...... Wanangoja km kuna lolote...
  9. panthers

    Special thread: Vikaragosi vya Masoud Kipanya

    Hahha kweli Tutasema kwa kirumi
Back
Top Bottom