Kama umetokea mkoa huu drope seven ulikotoka nia ni kujuana ili tuweze kutembeleana msimu huu wa holiday.
Wageni unaitaja sehemu unayotaka kutembelea[emoji7]
Hili wimbi LA wanasiasa kuhama kutokachama kimoja kwenda kingine, ni kukua kwa democrasia,[emoji14] ,ulafi wa madaraka,kukwepa kashafa ndani ya vyama vyao. Sisi watawaliwa tunafaidika au tunanyonywa kwani kuna uchaguzi midogo inayofanyika ili kuziba mapengo, na inahita mkwanja ....mungu ibariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.