Kwanini wanyama hawafanyi mapenzi kinyume na maumbile?

Hivi hakunaga vidalili vya awali unavyoweza ukavigundua mwenyewe kwahuyo wakumuita mke mtarajiwa sijui Mke wa ndoa kwamba anatabia chafu Mpaka umeoa na kuweka ndani kabisa ndo unakuja kumgundua...hakuna huto tudalili ee
wengine wanaoana baada ya week tu ya uchumba....hata hujalala nae mara 10
 
Ukigundua hivyo fanya yafuatayo:
1-Ibaki kuwa siri ya chumbani
2-Saidianeni kama ameshazoea/ ndio njia ya kupata ladha ya penzi basi na wewe jifunze
3-Mkikubaliana tumia kama sunah umfurahishe mwezio

Angalizo: Do it on your own risk
 
HILI NI TATIZO IT AFFECT MINDSET OF INDIVIDUALS siku hizi imekuwa kama fashion hivi not for boys or girl both are in the same lane.kuanza huu ushenzi ni rahisi sana but mkae mkijua wadada mwanaume yoyote hawezi kukuoa ukiwa unageuzwa even if he is the one who taught you that evil game coz family and moral responsibilities awake wisedom most of them wanaacha wakishaoa ila wadada ngumu sana kuacha ko kuna hatihati mume akiacha mke atakuwa anaenda nje kupata huduma ya kugeuzwa what shame is it
 
Ukigundua hivyo fanya yafuatayo:
1-Ibaki kuwa siri ya chumbani
2-Saidianeni kama ameshazoea/ ndio njia ya kupata ladha ya penzi basi na wewe jifunze
3-Mkikubaliana tumia kama sunah umfurahishe mwezio

Angalizo: Do it on your own risk
perfect huez kumkimbia mtu ambaye umemuoa mwenyewe...afu huo sio ugonjwa kusema atakufa anaweza kuacha au kutokuacha ....lakin inakua siri yenu
 
Back
Top Bottom