Kaka Mshana ushirikina upo kabisa nakumbuka 1998 nilienda kumtembelea kaka yangu maeneo ya bariadi ambayo kwa sasa ni simiyu nyege zangu ziliniponza nikamfuata demu mbali kidogo na nilipofikia wakati narudi saa saba za usiku nilifukuzwa na mienge ya moto iliyokuwa inapepea mithili imeshikwa na...
Duh! Punguzeni chuki binafsi hivi mh. Kikwete kawafanyia nini hadi mumchukie hivyo? Yaani hakuna kizuri hata kimoja alichofanya? Kweli jamani! Basi anayejiona ni msafi na hana hatia aendelee na masimango yake. Ingawa majungu na matusi hayatawasaidia kitu.
Kama kweli kiingilio ndio hicho litakuwa tamasha la kifisadi ingawa silizimishwi kuingia injili ya Yesu haina gharama waache kuibia watu wamwogope MUNGU anawaona.
Hamna maana mnamkopesha mtu milioni 6 mnamubana kwa miezi 6 kwa biashara gani hapa Tanzania ambayo INA rundo la kodi lukuki pia maafisa mikopo wenu wanapenda rushwa.
Mh. Rais ana haki ya kuteua mawaziri ambao anaamini watamusaidia kuleta maendeleo na kuzuia maovu. Mimi binafsi nawaomba watanzania tusilihukumu baraza la mawaziri tusubili tuone utendaji wao. Mawaziri wako chini ya waziri mkuu na mh. Raisi ambao ni watu makini na wachapakazi hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.