[Color=najaribu jameni
Sent using [URL=[URL="http://r.tapatalk.com/byo?rid=77694]Jamii"]JamiiForums - The Home of Great Thinkers[/URL] Forums mobile app[/URL]
Wadau Mimi ni kijana mtanzania nilioa nje ya nchi ..sasa naishi Tanzania lakini ghalama ya kupata kibali cha kuishi Mke wangu hapa Tanzania ni juu sana..hata ghalama za kupata uraia Kwa wake zetu Sisi tuliooa nje ni juu sana.
Naomba kama kuna wazalendo wengine wenye kilio kama changu tupaane...
Habari wadau!! Nna ndugu yangu ana sumbuliwa na kikohozi kwa muda mrefu.kapima TB hana
Ni kikohozi kikavu
Msaada nn atumie au nani amuone kwa msaada wa matibabu??
Ndugu wana JF
Natoa fursa ingine ya ajira kwa watanzania wenzangu
Medical Doctor anahitajika,
Mahali pa kazi ,,,,DAR ES SALAAM
KAMA UNAPATIKANA TUWASILAIANE 0764 763 427
ASANTENI.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.