Recent content by Panda II

  1. Panda II

    Maandamano ya amani kwa wanafunzi wote wa vyuo nchini

    Acha kuwafundisha watoto UOGA utawalipia madeni ya HESLB watakaponyanyaswa wakiwa hawana ajira?
  2. Panda II

    Waliotafuta kazi kwa zaidi ya miaka 5

    Unaambiwa kabla hujasoma MASTERS jiulize BACHELOR imekufanyia nini?
  3. Panda II

    Waliotafuta kazi kwa zaidi ya miaka 5

    Ndugu zangu kwanza niwape pole kwa mapambano haya ya ajira kwa kipindi kirefu bila matumaini. Ni wazi kuwa tunakoelekea ni kugumu zaidi kwa sababu competition imekuwa kubwa, graduates wanatemwa kila mwaka na watu wanapunguzwa makazini kila siku. Kuna watu wataongelea kujiajiri lakinini msisahau...
  4. Panda II

    Kwa nafsi yangu nampenda sana lakini hana sifa za kuwa mke wangu

    Vijana wengi waliomaliza vyuo 2010 s wameangukia kwenye matatizo makubwa ya ajira huku mabinti waliomaliza kipindi hicho hicho wengi wao wanamaisha sijui tatizo nini? BTW hatuwezi kuwaoa hawa watu watuua presha tutafute life
  5. Panda II

    Ni kwanini Membe ahamie upinzani kipindi hiki kuelekea Uchaguzi Mkuu?

    Awe na lengo baya ai zuri ACT haina hasara zaidi chama kinakua
  6. Panda II

    Kama huna elimu ya juu mafanikio utayasikia tu kwenye tv

    Sababu kwa nini wasomi wengi sio matajiri na hawana mafanikio. 1. N i waoga wa ku-take RISK Sio mwenye bachelor sio PHD yote inawaza ajira tu na si kuanzisha biashara ama kujitegemea kwa namna fulani fanya utafiti hapo mwanza top 10 ya matajiri kama utamkuta msomi. 2.Hawaaamini katika kufeli...
  7. Panda II

    GE2020 Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM: Dkt. Hussein Ally Mwinyi achaguliwa Kugombea Urais Zanzibar kupitia CCM. Membe afukuzwa rasmi

    Chain itaendelea Rihiwani kikwete loadin.... CCM ni yetu sote Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Panda II

    Shilole athibitisha kupigwa na Uchebe, asema kuanzia leo yeye siyo mke wa Uchebe

    Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia watu kuwa huwezi kuanzisha mapenzi na STAA hasa mwanamke kama huna moyo wa kuhimili vishindo. Mwanzo nilijua ndoa ya shilole na uchebe ni maigizo kama tulivyozoea drama za bongo movie na wasanii wa muziki, MTU anayetafuta ndoa yenye baraka na ambayo ni long term...
  9. Panda II

    GE2020 Mkutano Mkuu kura zote kwa Magufuli kuelekea nchi ya Maziwa na Asalia

    Ila hizi bendera mlizojaza hapa mjini duuuh Sent from my TECNO CX Air using JamiiForums mobile app
  10. Panda II

    Hivi kama vijana wanaambiwa wafanye kazi yoyote kwanini wanaenda chuo?

    Serikali iweke somo la LIFESKILLS liwe compulsory kwa kila mtu anayepita chuo kwa kipindi chote anachokua chuo ili waweze kujifunza Focus and Self-Control. Children need this skill to achieve goals Perspective Taking Communicating Making Connections Critical Thinking. Taking on Challenges...
  11. Panda II

    GE2020 Jimbo la Bariadi Magharibi

    Labda kadogosa lakini Mayunga sidhani
  12. Panda II

    GE2020 Jimbo la Bariadi Magharibi

    Uthibitisho upi kiongozi vuta CV yake hapo website ya bunge
  13. Panda II

    GE2020 Jimbo la Bariadi Magharibi

    Uko sahihi tumpe mtemi
Back
Top Bottom