Ndio
Ndio ulipwe 700k kwa level ya ACCA au CPA (T) ? Kama kiwango kikubwa cha elimu hakiushishwi na matokeo makubwa positively si angehitaji hata mwenye certificate ya Accountancy ili apate matokeo makubwa.
Acheni kuchezea elimu za wengine.
Hizo nguo za kufunika sehemu ya jeraha una uhakika gani kuwa ni salama dhidi ya bacteria watakaoendelea kushambulia jeraha hilo.
Yakuambiwa changanya na zako bila shaka hawakukosea kusema hivyo.
Una kitabu cha ujasiliamali wa utengenezaji wa sabuni mbalimbali (sabuni za miche za kawaida, mawingu, za kuogea, sabuni za maji, shampoo) Soap in general.
Ndani yake kukiwa na mafunzo ya sabuni zote hizo kwenye kitabu kimoja?
Mliongeza tu foleni hospitali, Biology gani umesoma kuwa ngono ya hata siku 2 hazijaisha ukipima VVU vinaonekana?
Pitisha hata miezi 3 kapime tena na tena kujihakikishia ila usije kumlaumu Ashura wakati siku zilizofuata ulizini na Amina, Mariamu, Neema na hilo limama nyumba ya pili hapo.
Kama Apps hizo zimekuwa disabled kwangu ni jambo jema maana badala ya kunitapeli kwa riba zao kali na muda mfupi sana wa marejesho nakuwa nimewapiga wao kwa kutofanya rejesho la tumikopo twao.
Sitishiki kwa sms zao za vitisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.