Recent content by Panctuality

  1. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Ajira nafasi ya muhasibu

    Ndio Ndio ulipwe 700k kwa level ya ACCA au CPA (T) ? Kama kiwango kikubwa cha elimu hakiushishwi na matokeo makubwa positively si angehitaji hata mwenye certificate ya Accountancy ili apate matokeo makubwa. Acheni kuchezea elimu za wengine.
  2. Panctuality

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    Umepata hasara kubwa sana kwa bidhaa uliyonunua kutokuwa satisfied
  3. Panctuality

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia Hajawahi kuua Mtu wala Kutoa Maagizo ya Kuua Mtu Yeyote yule

    Jitu lenyewe liliisha jichetua akili kitambo kisa uchawa promax hilo neno kenge mwehu linaingia na kutoka upande wa pili. Njaa mbaya sana.
  4. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    Tuthibitishie kwa sasa umefikia level ipi ya utajiri kupitia kilimo? Bilionea au Tilionea?
  5. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Niliroga sana

    Ulichofeli ni kutomuachia mrithi wa mikoba yako ya urogaji
  6. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Iringa: Namtafuta mwanangu Juliana Makafu aliyepotea tangu Mei 20

    Umri wa majaribu huo, kuwa na amani atapatikana salama aidha kwa kurudi mwenyewe nyumbani au kwa kurudi na ugeni maalum wa utambulisho
  7. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Confirmed !Hatimaye wamepewa Orodha ya Viongozi wa kisiasa, Mahakama, Vyombo vya Usalama ambao wanapenda kuwekewa Vikwazo !!

    Us hana urafiki wa kudumu na yeyote, kumbuka hilo.
  8. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Labda kama anazungumzia uzoefu alionao wa kuungua kidole akiwa anachoma mahindi.
  9. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Kama uta pata ajali ya kujiunguza au mtu wako wa karibu akiungua mtibu hivi ata pona papo hapo

    Hizo nguo za kufunika sehemu ya jeraha una uhakika gani kuwa ni salama dhidi ya bacteria watakaoendelea kushambulia jeraha hilo. Yakuambiwa changanya na zako bila shaka hawakukosea kusema hivyo.
  10. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Unatafuta kitabu/ vitabu?

    Una kitabu cha ujasiliamali wa utengenezaji wa sabuni mbalimbali (sabuni za miche za kawaida, mawingu, za kuogea, sabuni za maji, shampoo) Soap in general. Ndani yake kukiwa na mafunzo ya sabuni zote hizo kwenye kitabu kimoja?
  11. Panctuality

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mliongeza tu foleni hospitali, Biology gani umesoma kuwa ngono ya hata siku 2 hazijaisha ukipima VVU vinaonekana? Pitisha hata miezi 3 kapime tena na tena kujihakikishia ila usije kumlaumu Ashura wakati siku zilizofuata ulizini na Amina, Mariamu, Neema na hilo limama nyumba ya pili hapo.
  12. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Unatafuta kitabu/ vitabu?

    Malipo baada ya kitabu kupokelewa bila shaka.
  13. Panctuality

    JamiiForums Tanzania App za mikopo kama YakoMkopo, PesaSasa kupotea Play Store – hii ni hatua sahihi?

    Mimi nikiwa miongoni mwa waliozipiga hizo Apps
  14. Panctuality

    JamiiForums Tanzania App za mikopo kama YakoMkopo, PesaSasa kupotea Play Store – hii ni hatua sahihi?

    Kama Apps hizo zimekuwa disabled kwangu ni jambo jema maana badala ya kunitapeli kwa riba zao kali na muda mfupi sana wa marejesho nakuwa nimewapiga wao kwa kutofanya rejesho la tumikopo twao. Sitishiki kwa sms zao za vitisho
Back
Top Bottom