Recent content by Panctuality

  1. Panctuality

    Iran YAISHAMBULIA kwa makombora Umoja wa Falme za Kiarabu muda huu

    Anafanya hivyo kwa ajili ya kuzivunja vunja bases zote za USA katika mataifa ya Arab
  2. Panctuality

    Hivi lengo la binadamu duniani hasa ni nini??

    Kisha iweje? Kwa nini Mungu asiyape hata mawe uwezo wa kumtukuza? Kwani dunia ingeathiriwa na nini endapo binadamu tusingekuwepo?
  3. Panctuality

    Samsung siyo simu ya kawaida, Msiichukulie poa

    Sio mbaya kwa kuwa utaendelea kuwa mteja wa sumsung
  4. Panctuality

    Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

    Sijawahi fikwa na tabasamu wakati wote maana nawaza nikifa leo familia itaishije na bado sijajipata
  5. Panctuality

    Kila nikienda kanisani naambiwa niwaombee viongozi wakuu wa nchi je nifenyeje kuepuka hii dhambi?

    Tena hata ikiwa wazazi wako na ndugu zako ni sehemu ya wanufaika wa mfumo, wewe omba tu mabalaa yawakute. Potelea pote.
  6. Panctuality

    Hivi jamani kuna watu bado wanatumia decoders kuangalia vipindi?

    Unaachaje sasa kulipia ili uangalie mipira na familia nzima! Inawezekanaje wote familia nzima mkainamia kisimu kimoja kuangalia game, kwanza hainogi kabisa
  7. Panctuality

    Ukitaka mdumu urafiki JF, msivuane kifuniko cha utamu

    Kumbe kuna urafiki mpaka wa kukutana kabisa na hamsemi
  8. Panctuality

    Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Ni bora demokrasia iliyoharibika, lakini kazi ikawa inachapwq kweli kweli lakini si sasa demokrasia inaendelea kuharibika na kazi inaharibika
  9. Panctuality

    Natafuta mpenzi mwanamke

    Mungu akujalie umpate mpole kiasi mwenzio
  10. Panctuality

    Natafuta mpenzi jinsia ya KIKE

    Mimi mwenyewe imebaki 12 yrs kutimia 50, siamimini kama nitakuwa pambo la makumbusho kwa jinsi ninavyojiona
  11. Panctuality

    Naharisha wakuu, niombeeni nipone haraka

    Kwani unapotumia contaminated food/water ulitushirikisha?
  12. Panctuality

    Hali anayoipitia Mange kimambi kwasasa iwe funzo damu za watu zinamlilia tuache dhambi dhambi inaua.

    Mparuane wenyewe kwenye mkutano wa kuteua mgombea kisha kwa yaliyojitokeza Mo29 walaumiwe wanaharakati. Ajabu sana
  13. Panctuality

    Mahakama ya Afrika Kusini yaamuru Zambia kurejesha mwili wa rais wa zamani

    Acheni kumsumbua marehemu, adhabu ya kaburi inamtosha
  14. Panctuality

    Mtoto akizaliwa nyumbani kwangu ni wa kwangu, mama yake ataondoka ila mtoto atamwacha halafu nimjue huyo kidume atakayekuja kwangu kudai! NAMTAIFISHA

    .........Unamchukua kimya mtoto kwenda kupima DNA na huyo aliye zaa nae...... How is it possible?
Back
Top Bottom