Recent content by Panctuality

  1. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Kwa hili, namsaidiaje binti yangu?

    Mshaachana na mzazi mwenza kwa taraka na akaolewa na mwingine, huyo futa kabisa akilini mwako maana mawasiliano hayo na mke wa mtu yatapelekea kupashiana viporo. Vaa uhusika wa endapo wewe ndiye mpashiwa kiporo kwa mkeo, inauma sana.
  2. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Sababu ya kupenda wanawake wakubwa ni hii

    Kwani kila mwenye umri mdogo ana kibamia? Ufundi 6 x 6 ukubwa wa Zakari si kigezo. Aunt punguza kidogo.
  3. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Tuliowahi kuchapiwa tukutane hapa.. ulichukua maamuzi gani? Binafsi yule jamaa aliyenichapia hatokaa asahau

    Hizo hisia za kusimamisha mnara ili jamaa aliwe kiboga huwa zinatoka wapi, ikizingatiwa ni ME na si Mbususu ni tiGO? Ila wahuni ni noma sana!
  4. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

    Umeambiwa hao majirani walikuwa ni wanyakyusa? Wasafwa unaachaje kuwataja ikiwa ndio jiji lao?
  5. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Nini siri ya uweupe?

    Siku nyingine usilete kwetu majibu ya tafiti uliyoifanya kwa level ya kifamilia.
  6. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Zuchu na Diamond wanatarajia kupata mtoto wa kike

    Mara Zuchu atangaza kuachana na Diamond mara nini! Tumewachoka sasa, msi-force kuwafuatilia nyinyi tu ili hali kuna mambo kedekede tunayapambania kwa ajili ya kesho iliyo njema kwa watoto wetu katika taifa lao teule lenye maziwa na asali.
  7. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Mungu atamjalia atampata tu wa kuendana nae
  8. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Hizi account hapa JF zipo ikulu na ofisi ya raisi pamoja na CCM

    No.2 Lucas Mwashambwa
  9. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa huko ulipo unapata usingizi? Bado mil 7 CHADEMA wafikishe mil 245.

    Wasije wakaifanyia zengwe account iliyohifadhi fedha hizo. Maana hawa miungu watu "wapuus" sana.
  10. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Ahahahahaaa
  11. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Saddam Hussein alikuwa ni Dikteta mwenye faida kwa nchi yake

    Saddam ulihusishwa na ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu, ikiwa ni pamoja na kukandamiza wapinzani wa kisiasa, kuwafunga au kuwaua wakosoaji, na mashambulizi dhidi ya baadhi ya makundi ya wananchi. Kwa hiyo, si sahihi kuutazama utawala wake kwa upande mmoja tu
  12. Panctuality

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Basi kosa waliloliona ni hilo la kuwa na ID zaidi ya moja.
  13. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Anusuriwe kabla kesi haijawa ngumu, mapenzi shikamoo!

    Jamaa hawezi kukubaliana kabisa kumrudia, hivi alikuwa anafikiria kuwa akimrudisha kwao amuendee kwa mganga mwanamke abadilike kuwa kichaa, anadai kamgharamia sana mtoto wa mwanamke kipindi anaumwa hivyo anaumia sana kwa malipo anayopewa.
  14. Panctuality

    JamiiForums Tanzania JamiiForums ukiropoka ujinga kwenye uzi utajuta, No Delete Section

    Kibaya zaidi ban haina kuikatia rufaa, mod akibonyenza kitufe cha ban ndio basi tena. Ikija kunikuta hiyo lazima iniathiri kiakili, I'm so addicted to JF.
  15. Panctuality

    JamiiForums Tanzania Madogo wa Kiume, Acheni Tabia ya Kuja Inbox Kuomba Hela

    Tunaopokea sms za hivyo bila shaka tuko wengi, madogo badilikeni ombeni connection ili kesho na kesho kutwa uendelee kupata hela ya kula, kuomba hela ya kutimiza shida yako ya sasa itakufanya kuendelea kubaki omba omba milele.
Back
Top Bottom