Nilikuwepo ubungo hii leo wakati makonda anaingia na kuzomewa lakini mwenyekuti wa chadema alipoingia mh mbowe alipokelewa kwa shangwe na maandamano pamoja na watu wakiimba rais rais rais
Wamesikikika wakisema waziri mkuu alikataa kuja eti kunamatope lakini mbowe amefika asante mbowe...
Naomba kuchangia haya ninayoyafahamu kuhusu viwanja vya mabwepande kwanza viwanja vya mabwepande havikuwa chini ya halmashauri ya manispaa ya kinondoni bali manispaa ilishikishwa katika kuratibu na kusimamia upimaji tu.ugawaji na upimaji kwa maana ya garama za upimaji na kuwalipa wenye eneo...
Wewe uliyetaja hayo majina na tuhuma hizo nzito umetumwa na kamati kuu ya chama au Sanane mwenyewe amekutuma hebu msituhalibie chama,tuhuma kama hizo kama unauhakika nazo na kama Ben anauhakika nazo azipeleke kwenye chama zijadiliwe humu majungu hatutaki.
MADIWANI WOTE WA CHADEMA NA CUF WAMETOKA NJE KWA KUPINGA UKIUKWAJI WA KANUNI ZA HALMASHAUL YA KINONDONI,KANUNI YA SITA KIPENGELE C inayosema mkutano wa mwaka ni kuchagua naibu meya na wajumbe wa kamati pamoja na ratiba ya vikao pamoja na kujadili kazi za utekelezaji wa manispaa kwa kipindi cha...
Watanzania hatuna umoja,laiti tungekuwa wamoja mpaka sasa serikari ingekuwa imeondoka madarakani. Hat a maandiko matakatifu yanasema uoga ni dhambi tena mtu mwoga hataishi milele kwani atakufa kwa uoga wake. NA neno usiogope limeandikwa Mara 360 ndani ya biblia NA ni kila Kurasa imeandikwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.