PAMBA1
Member
- Sep 13, 2011
- 55
- 26
MADIWANI WOTE WA CHADEMA NA CUF WAMETOKA NJE KWA KUPINGA UKIUKWAJI WA KANUNI ZA HALMASHAUL YA KINONDONI,KANUNI YA SITA KIPENGELE C inayosema mkutano wa mwaka ni kuchagua naibu meya na wajumbe wa kamati pamoja na ratiba ya vikao pamoja na kujadili kazi za utekelezaji wa manispaa kwa kipindi cha mwaka mzima.
Cha kushangaza Meya na mkurugenzi wameleta agenda ya uchaguzi tu, pasipo agenda ya kazi za utekelezaji wa mwaka mzima kwakuhofia madudu waliyoyafanya kwenye budget iliyopita.
Cha kushangaza Meya na mkurugenzi wameleta agenda ya uchaguzi tu, pasipo agenda ya kazi za utekelezaji wa mwaka mzima kwakuhofia madudu waliyoyafanya kwenye budget iliyopita.