Habar za siku ya mashujaa wakuu.
Nmesoma sana humu nmegundua sio wachoyo wa kutuhabarisha na mimi nimeona nisiwe mchoyo leo nitatoa kisa kimoja japo ninavyovingi library[emoji38]
Siku moja jion mwanangu alinipitia magetoni na kuniambia amepoteza simu nikamsaidie kutafuta, tukiwa kitaa...
Wakuu poleni na majukumu,
Ninayofuraha kuwatangazia kuwa nauza korosho bei sawa na shambani ninapatikana Dodoma, Korosho ni safi zinachambuliwa kabla ya kuzifunga na kuzipima kwny mzani ndipo nawapelekea walaji.
Karibuni niwahudumie kwa bei ya Jumla na Rejareja. Itapendeza zaidi ukinitafuta...
natamani kukuelewa kiundani lakin nafikiri ukitulia utarudi kutupa maarifa zaidi maana hapa ulipoishia ndo umenipngezea kujidharau na kitendawili changu cha kujiuliza mimi ni nani na anayenitawala ananufaika na nini kwa kunificha ukweli ambao yeye aliutoa wapi na kwa manufaa gani asiuweke wazi
Samahani mkuu hii dopamine inaweza kuhusiana na mtu kuwa addicted na matendo ya kujiendekeza ambayo kimsingi yanaweza kumpelekea athark fulani kwa siku za mbele? e.g:Punyeto, Wizi nk
Kama kweli wewe uliyeandika hii ndio umeachana na mkeo basi kuna mawili either wote ni waimba taarabu au mume umezidi uongeaji na kuna uwezekano alikuwa anakudharau kwa sababu kwa sababu hii.
Tunapenda kuhusisha kila mtu na uongo. Ww sema kama kuna athari na kama athar ni zipi nishauri wengine wajue wakiweza waachane nayo nina 26 mkongo wa nn sasa mm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.