palesh pizoo
Senior Member
- Apr 14, 2018
- 131
- 224
Habarini za usiku wakuu.
Leo nimepita mitaa fulani nikasikia vijana wenzangu fulani wakizungumzia jinsi wanavyotumia Vumbi la kongo(Kufunga lemba) na jinsi wanavyoifurahia nikagundua kuwa kuna uwezekano ikawa vijana wengi sana wamejiingiza kwenye matumizi ya hiyo kitu.
Sina ujuzi nayo sana ila ni imani yangu kuwa humu naweza kupata msaada wa mawazo mazuri juu ya vumbi la kongo. Naomba kujuzwa Je, kuna athari zipi anazozipata kijana kwa kutumia vumbi la kongo maana naona kama hali ikiendelea hv na vijana wengi ndo wameathirika kisaikolojia maana kila date yao wanawaza kuidumisha kwa mkongo najiuliza kama ikiwa na madhara kuna uwezekano wa kuharibu zaidi vijana na watoto wanaochipukia
Leo nimepita mitaa fulani nikasikia vijana wenzangu fulani wakizungumzia jinsi wanavyotumia Vumbi la kongo(Kufunga lemba) na jinsi wanavyoifurahia nikagundua kuwa kuna uwezekano ikawa vijana wengi sana wamejiingiza kwenye matumizi ya hiyo kitu.
Sina ujuzi nayo sana ila ni imani yangu kuwa humu naweza kupata msaada wa mawazo mazuri juu ya vumbi la kongo. Naomba kujuzwa Je, kuna athari zipi anazozipata kijana kwa kutumia vumbi la kongo maana naona kama hali ikiendelea hv na vijana wengi ndo wameathirika kisaikolojia maana kila date yao wanawaza kuidumisha kwa mkongo najiuliza kama ikiwa na madhara kuna uwezekano wa kuharibu zaidi vijana na watoto wanaochipukia