Mkuu Mimi mgeni wa kutumia betting za Moira mara nyingi nimekua nikicheza za live casino...naomba kueleweshwa jinsi ya kuweka hizo code betpawa maana siwezagi kubet kwenye Moira kabisa alafu sijui hizo code unatumia vipi...
Nitashukuru kupata mwongozo wako
Hii mada nimeiona baada ya huo ugonjwa kubisha hodi kwenye Maisha yangu...binti yangu kazaliwa na tatizo Hilo wapo muhimbili wamelazwa mpaka jumatano... kiukweli ata sielewi na kila mtu wa karibu yangu ni mgeni wa tatizo Hilo... mpaka wazazi wetu wa pande mbili hakuna aliewah kuona
Kwaiyo ata kutolewa camera kwenye nyumba aliyokua anakaa Lissu na kusema msaliti Katikati ya Vita ni wa kuuwawa bado hausiki..alichukua hatua gani makonda alivyo vamia clouds
Ushahidi waliokua nao ni wa ile ripoti ya Richmond na wala si ushaidi mwingine unao ufikiria..mh Lowasa ameshatolea ufafanuzi suala hilo...baada ya yeye kujiuzulu umetokea ufisadi kiasi gani ndani ya serikali ya Ccmagamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.