Recent content by Padima

  1. P

    Kwa sura yake ilivyo mbaya, kamwe sitozaa naye.

    Duu!! huwa nawaza sana, dada kama huyu unakuta anasali na kusali, anatoa na sadaka! Ok kila lakhel kwa kila jambo
  2. P

    Nenda zako mshamba wewe! Acha wajanja waje

    Kwa hiyo dada umejiona mjanjaa, elewa tu wajanja hawavai hovyo na wanajielewa ila ww unaonekana limbukeni
  3. P

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    bro hiyo kitu si salama kabisa kwa sababu zifuatazo, kwenye Vagina kuna normal flora kwa ajil ya ulizi wa maeneo haya but wakihamishwa mazingira ambayo si rafiki mfano ndo wamehamia mdomoni kutoka kwenye Vagina watakacho kifanya ni kushambulia normal flora wa pale then kuna uwezekano mkubwa wa...
  4. P

    Nimempeleka mke wangu Hospitali kwa tatizo la jino, daktari kasema tupime afya kwanza. Je, hii imekaaje?

    Kwa Ishu ya kupima kwake, siku hiz kuna vitu vimekuwa upadated ni lazima upime mara mbili atakupima daktari kwake pia lazima ukapima maabara then wana chek majibu yote mawili hii ni kujiridhisha zaidi kwa majibu ya vipimo but kwa inshu ya kukushauli upime huenda kuna vitu alivi observ kwa wife...
  5. P

    Siku tatu kutoa mahari nakutana na meseji anaomba pesa kwingine

    Daaa mapenzi Jeneza, kaka uliza kwanza angalau upate ufafanuzi waki hata kama wa kujitapa tapa, kwa siku hizi hakina mwaminifu wa kiwango unacho kihitaji si kwa mwanaume wala mwanamke! ni kuishi kwa akili 2, pia mshukuru mungu kwa kukufinulia hilo ili ukae ukijua aina ya mwamke unaenda kumuoa
  6. P

    Ni sahihi kumpa mtoto mchanga maziwa ya kopo badala ya kumnyonyesha maziwa ya mama?

    Mama anaweza akawa anakamua maziwa ndo mtoto akawa anatumia wakati yy anaendelea na majukumu yake kama atayatuza katika joto la kawaida yanauwezo wa kukaa 24hrs na kama atayahifadhi kwenye friji yatakaa 72hrs so ni safe kufanya hivi kuliko maziwa ya kopo ingawa lactagen 1 na S6 yana sifa zote...
  7. P

    Nimefuma SMS hii kwenye simu ndogo ya mke wangu

    bro ni mkeo wa ndoa au mnaishi kisela tu, kama ni mkeo wa ndoa omba msaada wa mawazo kwa watu unaohisi watakuwa msaada kwako, jikaze mtoto wa kiume kwani mapenzi jeneza
  8. P

    Tatizo la kutokwa na uchafu ukeni- Pata ufafanuzi wa kina, ushauri na tiba ya tatizo hili

    dada hiyo ni uti imesha komaa nenda hosp upime ili daktari atoe dawa kulingana na ukubwa wa tatizo
  9. P

    Nishaurini: Nimegundua pesa ninazompa anahonga mwanaume mwingine

    Kaka piga chini, anakujibu kiburi kwani anacheza na udhaifu wako anajua huwez kupiga chini sasa ni kheri uchukue tahadhali mapema usije ukali zaidi ya hapo
  10. P

    Nampenda na nimemshawishi sana lakini bado hanitaki, Nifanyeje?

    bro endelea kuwa nae karibu atakuelewa siku moja
  11. P

    Simon Msuva aendelea kung'ara Morocco

    Kocha wa kilimanjaro start hajaona umihimu wa msuva kwenye kikoc chake au ana shida zake binafsi
  12. P

    Msaada: Namna ya kurudisha furaha inayopotea

    Ka mkubwa pole kwanza naomba uelewe tu hiyo ni changamoto kwako na sio wa kwanza kukumbana na changamoto kama hiyo NB: Don't trust the woman even if she die, Jipange kisaikolojia
  13. P

    Niwachekeshe kidogo

    Ipo siku hiyo sura ya ndimu utaitafuta na kuihitaji wala hutaiona!!!
Back
Top Bottom