mukulupapaa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 2,930
- 1,731
Halafu siyo msukuma huyo???Lazima awe na kiburi huyu hakugombea Ubunge hajui uchungu wa wananchi aliteuliwa na "Mfalme"...
Halafu siyo msukuma huyo???Lazima awe na kiburi huyu hakugombea Ubunge hajui uchungu wa wananchi aliteuliwa na "Mfalme"...
Naunga mkono hoja lakini vipi kama RAISI ndo "mshauri mkuu" wa waziri, je, no rahisi kumuondoa huyo Waziri aliyefeli?Rais amuondoe huyu Waziri wa Fedha..
Amefeli kabisa.
Yawezekana amekumbuka kuwa kuna maisha baada ya 2020!Ndungai ameruhusu wabunge kufunguka namana hiyo........naona anaelekea kupona au akili zimeanza kumrudi.
Interahamwe!Mipango ni mtanzania kweli? Naomba mfuatilie uraia wake
Inawezekana unayosema ndio hali ilivyo Mkuu.Naunga mkono hoja lakini vipi kama RAISI ndo "mshauri mkuu" wa waziri, je, no rahisi kumuondoa huyo Waziri aliyefeli?
Hao wabunge wametumwa, hawana cha maana zaidi ya unafiki, eti wanajidai kusema eti rais kakosa wasaidizi, unajua huo unafiki wa hao wabunge serikali inaujua na ndiyo maana haiwezi kuteteleka, itatekeleza sera zenye tija kwa maendeleo ya watanzania na siyo kupenyeza ajenda za kufaidisha mafisadi na wezi.
Sekta binafisi kwa sehemu kubwa ilitawaliwa na uchumi hewa, kilikuwa kichaka cha kuibia serikali
Hao wabunge wametumwa, hawana cha maana zaidi ya unafiki, eti wanajidai kusema eti rais kakosa wasaidizi, unajua huo unafiki wa hao wabunge serikali inaujua na ndiyo maana haiwezi kuteteleka, itatekeleza sera zenye tija kwa maendeleo ya watanzania na siyo kupenyeza ajenda za kufaidisha mafisadi na wezi.
Sekta binafisi kwa sehemu kubwa ilitawaliwa na uchumi hewa, kilikuwa kichaka cha kuibia serikali
Hao wabunge wametumwa, hawana cha maana zaidi ya unafiki, eti wanajidai kusema eti rais kakosa wasaidizi, unajua huo unafiki wa hao wabunge serikali inaujua na ndiyo maana haiwezi kuteteleka, itatekeleza sera zenye tija kwa maendeleo ya watanzania na siyo kupenyeza ajenda za kufaidisha mafisadi na wezi.
Sekta binafisi kwa sehemu kubwa ilitawaliwa na uchumi hewa, kilikuwa kichaka cha kuibia serikali
Basi tuseme hao ndio wazalendo, umefurahia?Ila kina jingalao wakija hapa watasema hao wabunge sio wazalendo, wametumwa na wazungu
Kwani tangu Magu ameingia mbona ela hakuna na hakuna cha kujivunia hata kimoja. Kama miundombinu yote aliyozindua ilikua ni ya tokea awamu ya nne kuanzia mwendokasi,Kigamboni bridge, SGR, nk. Embu nitajie muundombinu aliouzindua wa kwake hata mmoja ukitoa ile barabara ya Morocco-Mwenge. Labda hizo ndege ambazo mpaka leo hatujui zinatengeneza faida kiasi gan.Viwanda karibu vyote vilikua vishaanza kazi tangu serikali iliyopita.Hata hicho cha Dangote ni matunda ya serikali iliyopita, hata hicho cha Sayona alichozindua juzi kilikua kishaanza kazi tangu 2014.Basi tuseme hao ndio wazalendo, umefurahia?
Hata kama umefurahia, tunatokaje hapo tulipo? Au mnaridhika mlivyokuwa mnatanua mitaani na mihela lakini nchi kubwa haina cha kujivunia kwenye miundombinu - hakuna highway ya maana nchi nzima, flyovers, viwanja vya ndege vya grade ya mwisho, bandari za miaka ya ukoloni, reli za mwaka 1905-1914 (TRL) na ile ya 1970s (TAZARA). Hakuna meli mpya za maana, huku wengine wakitumia meli ya Mjerumani.
Mlilalamika elimu kushuka kutokana na miundombinu mibovu, Leo mmesahau. Mlilalamikia maskendo ya rushwa serikalini, Leo ndio mnawasapoti wezi.
Udhaifu wako unataka kuusingia kwa mwenzako.