Naomba kuuliza kwani uzi huu umejaa wanawake sana kuna shoga mmoja mjane toka jana naona anatoa mapovu tu kwa hawajamwachia hela ya tembele akapikie mumewe aacha kudanga huku huyo shoga mjane kazi umbea tu. uzi huu ni kwaajili ya kubet tu na syo jukwaa la wanawake ukiona siku hyo mashoga zako...
Yani broo kumbe wew syo kabisa nasubutu kukuambia wew ni mjinga cozi katika kampuni bora za kubet duniani sidhani kma 1xbet kuna ambaye anaweza kujilinganisha kwa kila kitu hao sportpesa wako wa uchochoron broo
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyepost ni mshamba kweli kweli nyumba za kawaida anatapata tu yaonekana katokea sehmu ambazo hamna nyumba za maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu betpawa hawana ile odds bust utakuta mechi 20 ods 30 wakati makampuni mengne odds zinafikia hadi 50 ndo maana unaona wanaweka na bonus na kodi hawakati kwa sababu wanajua washakuminya
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.