jamani punguzeni jazba, mimi kama nilivyomwelewa,na nadhani ndivyo hivyo, watanzania wengi hawako familiar na chuo cha SUA. Wengi utawasikia wakitaja UDOM,UDSM na vingine na siio kwamba SUA ni vilaza au vitu kama hivyo..
Ni kweli kabisa hayo. Soda hizi hasa hizo coca na pepsi zina madhara mwilini hasa kwenye mifupa. Ukitaka kujua madhara yake, tafuta mifupa, ya ng'ombe au mnyama yeyote, weka kwenye chombo halafu mimina soda ya coca au pepsi uache kwa muda kama siku nzima hivi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.