Unaonekana una gubu sana,sometimes kuna age ukifika haya mambo ya spelling yanatokea na sio kwamba hafaham,ila kichwa kikiwa na mambo meng ni vigumu kuconcetrate
Hao polisi na madaktari wanatakiwa wafanye kazi miaka 10-15 watafute mitaji wajiajiri,then wawaachie graduates nao watafanya hivyo hivyo wataawaachia wengine,
Hapo hakutakua na tatizo la ajira sababu vijana weng wataajiriwa,halaf pia wafanyabiashara hawatafilisika sababu kutakua na purchasing...
Yaan watu wa CCM wanafiki sana,mradi au kitu chochote kikifanya vizuri,MAMA ANAUPIGA MWINGI,ila kikiwa kibovu,mfano TANESCO,au barabara Mbovu,ccm haihusiki ni watu wengine wanaohusika.
Rubish
Hii ni tofauti,kwa AFCON jukumu lao ni kurusha tu,inshu za camera,replay ni kazi ya CAF .
Kama ilivyo EPL,ambapo wengi huhisi ni dstv ndo wana camera nzuri,kumbe sio,ni kampuni separate imepewa iyo kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.