Recent content by Oxx

  1. Oxx

    Tetesi: Mtekaji wa Sativa inadaiwa yuko chini ya ulinzi

    NAchofahamu kama D9 ingekua kama O29 basi 80% Saa hizi Kamanda Mkunda ndo angekua Mc wa Taifa.... Ingawa Maandalizi yao ya D9 na nmna ilivyokua D9 sikuona mlingano ila pia ilikua ni kama taarifa, busara ya kijeshi na ulinzi wa raia.
  2. Oxx

    PreGE2025 Kwa Majibu haya ya Babu Tale ni dhahiri kuwa hafai kuwa Mbunge, hawezi kutatua changamoto hata kwa hoja

    Ni kweli ila awezi kujieleza, awezi kujenga hoja.... Hafai kua mtunga sheria.
  3. Oxx

    Ibada ya Kumuombea Mdude Nyagali kufanyika leo Kanisa Katoliki Parokia ya Simike Mbeya

    Inaumiza sana..... Ila Mungu ni mwema
  4. Oxx

    Tupendekeze Wabunge 10 wenye Weledi wa kupangua Hoja zilizomo kwenye Azimio la Umpja wa Ulaya

    Mbona kama ulishatoa msimamo wa serikali... Na Mabalozi wameupokea! Au kuna tamko lingine....?
  5. Oxx

    Nafikaje choma waterfalls Morogoro?

    Ukihitaji gari nchekie dm mkuu
  6. Oxx

    Kamanda wa Polisi Katavi: Edgar Mwakabela (Sativa255) anasema alichukuliwa Dar hadi Arusha na kisha kutupwa Katavi

    Kama alipelekwa Arusha utakua yule jamaa alie rudi karudi kama zamani.... Anaona sifa kula nyama za watu
  7. Oxx

    Mauzo yanavutia lakini kwa faida ya laki 8 na matumizi laki 7 na elfu themanini nimehitimisha najitekenya, nimekubali kipigo till next time

    Apo ulitakiwa ufanye kupunguza matumizi.... Tra chezeshe tuwape 100. Mfanyakazi mpe 200 afu ajitegemee mwenyewe.... Ungeongeza faida 170 Zaidi mwenyenyumba ungemchezesha pia wanaelewaga pia... Ungeongeza matangazo ya biashara Yako baada ya mda flan ukemake profit mzuri zaidi
  8. Oxx

    Dkt. Stergomena Tax: Hali ya usaIama wa mpaka wa Tanzania na Msumbiji haitabiriki

    Kambi zitakuwepo tu kwa mazingira ayo.... Ila km 900+sio mchezo asa kama ni pori...
  9. Oxx

    Mara ya kwanza kuwaona kunguni kitandani kwangu akili iligoma kukubali!

    Awa jamaa walianza kama vimende vidogo magetoni nkawa nachukulia kawaida baada ya miwasho kuzidi nkaanza uchunguzi binafsi. Hamadi awa apa kuwasha torch naona wanakimbia skuamini ...... Nilipata Mawazo sikulala, kama mwamba nkazama jamii kupata details nkakutana nashuhuda nyingi, moja wapo ni...
  10. Oxx

    Nimekutana na matapeli leo asubuhi

    Mjanja anapeliwa vip? Mjinga ajui maana, mjinga aelewi.... Ukitapeliwa we ni mjinga wa mjanja.... Kutapeliwa ni kuendekeza tamaa za kijinga
  11. Oxx

    Dunia ina unafiki sana, Poshqueen anampost Harmonize karibia kila mara, kama vile anampenda kweli

    Kwani mkeo au manzi wako ulimtoa bikra?.... Mapenzi ya kweli ni Adam na hawa aya mengine ni kuangalia umuhimu watu na kukubalaiana nae...
  12. Oxx

    Je, umewahi nunua uwanja, ukaanza na kajenga kisha baadae ukaanza kujutia kujenga eneo hilo?

    Nilinunua pagala kwa ndugu yangu kumsupot baada yakupata uamisho kikazi.... Sikua na haraka ya kupamliazia... December naenda kucheck, na mpango w a kupamalizia, la haula yule mzee kauza mpaka aliyosema itakua ndio njia.... Imebidi niwasiliane na madalali kwa msaada zaid
Back
Top Bottom