To determine whether coffee or potatoes are more profitable per acre in Tanzania based on a one-year output, assuming the farms receive the best services (optimal inputs, management, and market access), we need to compare their yields, costs, and revenues. Since I don’t have exact 2025 data for...
Siyo kutishana, hiyo breakdown iliangalia ekari moja. Ninajua pia gharama hupungua kidogo kwa Large scale farming. Ujumbe wang ulilenga uhalisia kwamba ili upate faida inabidi ulime mahindi mengi!
Hebu nitoe maelezo yenye undani kuhusu akili bandia (Artificial Intelligence - AI), aina zake, na jinsi inavyofanya kazi:
1. Ufafanuzi wa Akili Bandia (AI)
Akili bandia ni uwezo wa vifaa vya kidijitali (kama kompyuta au roboti) kufanya kazi zinazohitaji akili ya binadamu. Hizi ni kama vile...
Faida ya Tsh 600000 kwa ekari igawe kwa muda uliotumia kusubiri pesa yako irudi.
Kuanzia mwezi wa kulima (mwezi wa 12 kwa Songwe) mpaka muda ambapo bei ingalau imepanda (Mwezi wa 8)
600000 / 9 = 67,000 TSH (Hii inamaanisha kila mwezi ulikuwa ukiingiza Tsh 67,000 tu ambayo haitoshi kulisha...
Samahani wana jamvi.
Naulizia ikiwa umekosea au kusahau password na ukashindwa kuingia kwenye mfumo wa maombi wa OTEAS. Ni namna gani unaweza kupata msaada kutoka kwa watu wa IT TAMISEMI??
Natanguliza shukrani.
Wapendwa wanajamii, ninatafuta nyumba ya kupanga.
-Napendelea iwe inapatikana kati ya Kimara na Ubungo (Inaweza kuwa Kimara, Baruti, Bucha, Kona, au Kibo)
-Iwe ya chumba kimoja na sebule
-Isiwe mbali sana na barabara kuu-Morogoro road, KM 1 ingalau sio mbaya
-Iwe na umeme na maji yanayopatikana...
Fu*k you!
Kati ya watu nawakubali ni Mnyika!
Watanzania huwa tunapenda kila kitu serikali itufanyie! Hivi wewe unaweza kushindwa shika chepe na kuzibua mtaro uliokaribu na nyumba yako ili maji yasifike kwako! Unangoja serikali!!
NAona tunakoenda tutakuwa tunangoja serikali au Mnyika aje azae...
no!Akiwa maskini atakimbilia kujijenga yeye kwanza na familia yake mi nadhali akiwa tajiri au tajiri wa kati ni vizuri zaidi!maranyingi maskini wakiingia madarakani huwa wanajutia walikotoka na kuanza kufira pesa za serikali!
Mimi ni kijana na nina msichana ambaye hakika nataka Mungu akijalia aje awe mke wangu wa ndoa kwa sababu nampenda sana!.
Nilikuwa bado sijafanya tohara kwa sababu kwetu si desturi na mpenz wangu aliposikia sijatahiriwa aliruka kwa furaha na anasema ananiomba sana nisitahiriwe kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.