no!Akiwa maskini atakimbilia kujijenga yeye kwanza na familia yake mi nadhali akiwa tajiri au tajiri wa kati ni vizuri zaidi!maranyingi maskini wakiingia madarakani huwa wanajutia walikotoka na kuanza kufira pesa za serikali!Awe maskni au tajiri, lakini akiwa tajiri kusiwe na shaka yeyote jinsi alivyoupata. yaani awe na utajiri unaoelezeka kwa maana ya utajiri wa kurithi au wa biashara na awe mlipa kodi mzuri
Awe tayari kufa kwa ajili ya kutetea siyo tu Taifa na watu wake ila hata katiba ya nchi yake.
Kwa ccm ni ngumu kupata mtu mwenye sifa hizo.labda kwingine
.....kweli kabisa Rais anaeogopa kupoteza nafasi yake ya URAIS au anaeogopa KUFA na hivyo kufanya maamuzi yenye manufaa Binafs hataweza kuikomboa hii Nchi kutoka kwenye utamaduni wa Kifisadi. ( mf. Mbeki wa Africa kusini alipoteza nafasi yake ya Urais pale aliposhikilia msimamo sahihi - Ukweli utamwinua kuliko mrithi wake ktk Historia)
Tatizo wengine first Lady fake ndiye anayewekwa wazi wakati original anakuwa mchepuko.Na ndiyo maana ukuniuliza RAIS mzuri atakuwa yule mweye uwoga wa MUNGU,Muwazi,mwenye heshima kwa kila mtu,jasiri wa kusema hapama kwa mabwana wakubwa IMF,World Bank nk,na mkewe lazima awe ameenda shule,hatuhitaji tena darasa la saba awe ndiyo First lady.Kwa kawaida MWANAMKE ndiyo sababu ya kuimaliza au kuinua SIFA ya MUMEWE.Hivyo ELIMU ya first LADY lazima iangaliwe.
Tatizo wengine first Lady fake ndiye anayewekwa wazi wakati original anakuwa mchepuko.