Kwa takwimu yanga wapo vizur tangu manji aingie pale figisu figisu zimepungua sana, na pia clabu imezid kuimarika, pia uongoz wa manji umetoa uhuru kwa benchi la ufund likiongozwa na kocha kuwa huru, hakuna mtu anaemiliki mchezaji pale, na kama wakiendelea hivyo hakika itafika mbali sana klabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.