Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,756
- 2,054
Mtahangaika sana mwaka huu #Mabadiliko2015
mbona mbowe yupo dar?
watu wanachanja mbuga kwenye kampeni kuelekea ikulu 52/10 wewe unazungumzia habari za slaa ambaye alishasaulika cdm
naona mmepewa jukumu leo ni kuusambaza huu ujumbe mitandaoni
Ni kweli tangu Dk Slaa aondoke baadhi ya wafuasi wa CHADEMA asilia wamerudi nyuma.Ninavyoona kura watampa Magufuri.
huko TISS hamna kazi? si mcheze tu hata game ya Solitaire kwenye laptop zenu kuliko kuandika gossip
...
......watu wanatapatapa Lowasaaaaaaaaaaaaaaa Mabadiliko