Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

Magufuli ashindwa kuhutubia Misungwi

mkuu siwezi jua, kwani mm nilishangaa anaondoka, bila kuhutubia, sijui tatizo lilikuwa nn kwani walisema anawahi sijui wapi hukoo

Umechanganya!Leo Star tv walikuwa live! Labda "magufuli" wa Jana Tunduma sauti iligoma Mbowe akasingizia Vipaza sauti
 
Acha uongo ww ucdhan unadanganya watoto aliyehutubia ninan sasa kama c JPM
 
mkuu siwezi jua, kwani mm nilishangaa anaondoka, bila kuhutubia, sijui tatizo lilikuwa nn kwani walisema anawahi sijui wapi hukoo

si amehutubia live we shost????,,,,dah......!!yani umejikamatisha wala hukwepi aibu hapa
 
Last edited by a moderator:
ahutubia lkn na kuwanadi wagombea bila push up. baadae akaita wasanii, akaondoka kwenda kukaa kna kwamba atarudi tena ila ghafla namuona anayoyoma na msafara.

cha ajabu anaongea maneno mengi ya kisukuma bila kutafsiri. misungwi kuna kila kabila, jamaa anamatatizo huyu
 
Mods mpigeni ban huyu ameweka uongo dhahiri hapa jukwaani. Hii haikubaliki mtu kusema jambo la uongo namna hii.
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

Labda alikuwa anawahi gym
 
kama alihutubia basi ni video ya jimbo jingine lakini sio hili la misungwi

Dada uongo wako utapelekea upigwe ban....Startv walikua hewani huko Misungwi....
 
Leo mgombea wa ccm Dr Magufuli hakuhutubia jukwaan katika jimbo la misungwi zaidi ya kelele za wasanii.

Magufuli alifika na kupanda jukwaani lakini alipokuwa anatumbuiza fid Q tulishangaa kasimama na kuondoka bila hata kusalimia.

Jambo hili lilisababisha watu wazomee, na hata alipokuwa anaimba fid Q alizomewa pia na kundi la watu nyuma.

Sababu nilisikia kwa mbali kwani nilikuwa nyuma kwamba sijui anawahi kwenda wapi hukoo

mkutano wa misungwi sio kwamba ndo umekuwa wa mwisho kwa leo?,,,,,,,,



yaani hujui kusema uongo asee
 
mkutano wa misungwi sio kwamba ndo umekuwa wa mwisho kwa leo?,,,,,,,,



yaani hujui kusema uongo asee

mkuu kufika alifika lkn hakusimama jukwaani, kama mlinwona kasimama basi jua waliunganisha clip ya jimbo jingine alilohutubiaa lkn sio misungwi
 
Kweli jf kuna mabandidu wa uongo nikuwa c amini,hili la misungwi kuwa magufuli kashindwa kuongea ni uongo na maana mkapa anawaita malofa,mm nimeangalia mwamzo mwisho na akamuombea charles kitwanga kura kwa wanamisungwi,kweli ukawa mtakuwa ukiwa
 
acha uongo mbona wanasema hata startv ilikata matangazoo?? uliza kwa waliokuwa karibu na Tv
Iliyokata matangazo ni ITV...

Ulivyo wa ajabu unaleta kitu ambacho hauna hata uhakika nacho...'Mbona wanasema'...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom