Recent content by othsade

  1. O

    Nikaribisheni

    Miaka 25~30 inamaana hujui hata miaka yako halisi . Ebu sema miaka yako kwanza Sent from my SM-A300H using JamiiForums mobile app
  2. O

    Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

    Mm naona ingekua bora kama kuna mtu amekashfiwa kwenye huu wimbo ajitokezee yy aseme ila sio kujipendekeza kwa kumkamata ney wakat hakuna alielalamika kua amekashfiwa..wabongo njaa zitatuua kwa kujipendekeza mm sioni kosa lake ney hapo.
  3. O

    NECTA yawasihi wananchi kuendelea kuwapa taarifa kuhusu watumishi walioghushi vyeti

    NACTE nyie wanafiki sana. Mbona kuna idara hamjazigusa mfano jeshin na police. Ila mmedeal na walimu madaktar manesi na wengine tuu. Mbaya zaid kunamtu katajwa zaid ya wiki mbili na nyie mpo kimya au na nyie mnatumika?
  4. O

    Ndugu, jamaa na marafiki njooni tumtetee Makonda dhidi ya mapapa wauza unga wanaomzushia

    Kamanda ww upo juu kama panya unapuliza afu unang'ata
  5. O

    Gazeti la MwanaHALISI kumuanika Paul Makonda

    Kumbe ndo maana anakurupuka bila hata kufuata taratibu za kazi
  6. O

    Rais Magufuli: Siwezi kusikiliza madai ya malipo yoyote wakati kuna malipo hewa kila kona

    Hivi kumbe sura mtu ilivo inaendana na roho yake ilivo??? Kuna jamaa alikua handsome sana na pia alikua mcheshi sana mpaka watu wakamwita babu cheka.sasa sijui ukiwa na sura mbaya kama yangu na roho inakuaje... jaman mm napita tuu
  7. O

    Nikki Mbishi: Wimbo wa “I’m sorry JK” usichezwe popote wala kusambazwa, sitahusika kwa chochote

    Hivi sasa hivi hata haki ya kuongea haipo? Maana kila msema kweli anakamatwa kweli watz tunamambo ya kujipendekeza. Sasa BASATA wameufungia huo wimbo kwa lipi? Au jk hastaili kuombwa msamaha?
  8. O

    Lisemwalo lipo..: Arusha yathibitisha!

    Mm nashangaa sana kwa mkulu kusema mtu akikutwa na kitu haramu awekwe ndan hata kama mtetez wake nae awekwe hivi kwa stail hii ya kubambikiwa kesi siwataenda wasio na hatia?
  9. O

    Dogo Janja: Nammezea mate sana Irene Uwoya tangia nikiwa mdogo, naomba siku moja nitimize ndoto

    Dogo utapotea fanya kaz acha kutafuta kiki . Kujihusisha na mapenzi sio sifa ukizingatia bado hata maisha hujayamudu
  10. O

    Manji na Gwajima wamelala mahabusu ipi?

    Hawa jamaa hawapendagi ujinga sio watu wa mchezo mchezo huenda hata walienda kulala white house hawa
  11. O

    CHADEMA yatoa tamko baada ya Mbowe kutajwa katika listi ya Makonda

    Nikitafsir kauli ya zito ndo naamin. Zito kaona mbali jaman kasema huu ni mtego wa panya hii inshu imekaa kukandamiza upande flan flan tuu na lengo ni kudhoofisha upande mmoja.lengo lao ndo hilo hakuna jingine
  12. O

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Mm naona kuna kitu kikubwa kinakuja mbelen. Ipo kisiasa zaid wenye macho tushaona mbali. Team edo opposition angalien huu mtego kwenu. Ila mungu yupo siku zote yy ndo atatenda haki.
  13. O

    Yusuf Manji: Nitamshitaki Makonda kwa kunichafulia jina

    Big up manji ww unajua haki yako huo ni udhalilishaji wanachafua jina lako maana huez kumtuhumu mtu bila kumchunguza. Ukikuta hana hatia siutakua umemchafulia jina lake na biashara zake pia.
  14. O

    Serikali ya visasi mpaka lini?

    Hapo umenena wakiona wafanyakaz wanalalamikia madai yao wanaazisha uhakiki wa vyeti na watumishi hewa zoez ambalo haliishi. Juz kat pia wameazisha zoez la uhakiki wa vyet vya ndoa kwa wafanyakaz sjui logic ni ipi.
Back
Top Bottom