swali kwa wagombea wote: kama utafanikiwa kuchaguliwa, je utakua tayari kurudisha serikalini viwanja vya mpira e.g ccm kirumba pamoja na vitega uchumi vingine vilivyojengwa kwa kodi za wananchi (kipindi cha chama kimoja) vinavyomilikiwa na ccm?
Mwaka juzi niliikatia gari (premio) bima elfu 45, mwaka jana niliikatia gari hiyohiyo bima laki moja, leo hii naambiwa bima laki moja elfu kumi na nane. Kwanini nisiipigie upinzani kura?
Rupia , mayai ya Bundi etc. yanauzwa kiulagai sana, mtafute mtu muwe wawili, mmoja anatangaza soko ya rupia kwamba uko tayari kununua kwa milioni hata kumi then unaacha contact zako wakati wakiendelea kutafuta rupia inayohita(kwa specifications ulizotoa) then yule mwingine anjitokeza kwamba...
nafikiri vyama vyote viweke wagombea mpaka pale mapingamizi yatakapokua yametolewa maamuzi then wengine wanajitoa anabaki mteule mmoja wa UKAWA. hili litaepusha yaliyjotokea serikali za mitaa ambapo sehemu nyingi CCM ilishinda kwa mapingamizi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.