Recent content by Others

  1. Others

    Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

    Vodacom wana huduma ya unlimited kupitia hichi kifaa “NOKIA CPE” Tsh. 950,000/- aisee. Nimeshuhudia simu inasoma speed ya 800Mbps na hapo tumeunganisha watu zaidi ya 10. Jitahidi ujaribu hii. Maelezo mengine ya ziada waone wahusika ila huu ni Umeme mwingine tena ni hatari sana.
  2. Others

    Mimi ni mlevi wa kutazama vipindi vya wanyama ila huyu mnyama simpendi

    Venom and Bacteria: For a long time, it was believed that the Komodo dragon's bite was fatal due to a mouth filled with toxic bacteria. However, recent research has revealed that they have venom glands in their lower jaw. This venom contains compounds that prevent blood from clotting and cause a...
  3. Others

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Daah! Ila wewe Mdau. Nimekubali kwamba upo vizuri. Ahsante kwa shule nzuri. 🙏🏽
  4. Others

    Mtu akifa anaenda wapi?

    Mbona kutishana tena!!? 😳
  5. Others

    Ndoa imenizawadia kiharusi

    Pole sana na unachoweza kuendelea kufanya ni hicho ulichoamua kufanya. Ni muda wa kitambo kidogo umepitia na umeshavumilia na sasa ni wakati sahihi wa kuboresha maamuzi ya kuishi maisha yanayoendelea katika hali hiyo ya kigonjwa gonjwa japo yatakua ni maisha mazuri na yenye ubora wa hali ya...
  6. Others

    UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili

    Umeongea point kubwa sana japo naamini kuna baadhi ya wengine wenye Akili mgando na mitizamo tofauti hasa kuna wale ninaowachukia sana wenye dhana ya “wewe zaa watoto analea Mungu.” Ndiyo hawatakuelewa kabisa. Ni aibu kubwa sana ya kitaifa kwasababu UDOM haitoi huduma kwa wazawa tu. Kuna wakati...
  7. Others

    Kwanini RC wasipite kuombea kila kijiji au familia wafanikiwe kimaisha?

    Wao wenyewe wamefanikiwa? Unafiki, Uchawa & Uzandiki vimekua vyeo vyenye malipo mazuri sana ila majukumu yake ya kazi ni ukubali kudhalilika.
  8. Others

    JamiiForums Usiku wa manane

    04:52 “Usingizi umekua ni bidhaa adimu sana mjini.” (Rudia kusoma na tafakari utanielewa)
  9. Others

    JamiiForums Usiku wa manane

    0026
  10. Others

    KERO Chuo cha Maafisa Tabibu Kilosa na NACTVET kimeshindwa kuwapa vyeti wanafunzi waliounguliwa na vyeti vyao mwaka 2019

    Kwanza nawashukuru sana Uongozi wa JamiiForums katika kulisimamia hili. Na Pili, Naomba tushirikiane kupaza SAUTI KUU kwani sio Chuo hicho tu kuna na vingine vingi na hasa Chuo Cha Kibosho (Kibosho Institute of Health and Allied Sciences=KIBIHAS) zamani kilijulikana kama Kibosho School of...
  11. Others

    Nimelikataa jina walilonipa wazazi wangu

    Jina ni Zawadi. Sio rahisi wazazi kukosea japo inatokea.
  12. Others

    Ugumu wa Maisha wasababisha Wananchi kununua Utumbo badala ya Nyama , Sikukuu ya Idd Yadorola

    Kuna namna nyingi nzuri na bora za kusaidia Kaya Maskini lakini Rais Mwinyi na Mama hawaamini katika njia hizo. Inawapasa wajifunze kutoka kwa Viongozi wa mataifa mengine waliwezaje kufaulu katika Changamoto hiyo. Baba wa Taifa aliwahi kusema: "Ukitaka kumsaidia Maskini, usimpe Fedha. Ipe Elimu...
Back
Top Bottom