Recent content by Others

  1. Others

    JamiiForums Tanzania Kauli ya Dkt. Dugange (Miaka 3 bila Uhamisho), Kilio cha Watumishi, Afya ya Akili na Ndoa zilizo Hatarini. Nini Kifanyike?

    Tujadiliane: 1. Je, ‘sheria’ hii ya "Miaka 3" inaweza kutekelezwa bila kuathiri ustawi wa familia (ndoa) na afya ya akili ya watumishi? Jibu: Nini kutekelezwa hata kupitishwa kama muswada rasmi wa sheria haiwezi kutokea kwasababu ya maslahi mapana ya wahusika. Huwezi kulazimisha kundi kubwa la...
  2. Others

    JamiiForums Tanzania Tanzania tunapaswa kufanya hivi ili kupunguza umasikini, uhaba wa ajira na kukuza lugha ya Kiswahili

    Kumbuka kwamba HATURUHUSIWI. Tutapoanza kuonyesha dalili yoyote ya kufanikiwa kufikia hatua ya kujitegemea kwa mambo mengi na kupunguza umaskini. Tunakumbushwq makubaliano ya masharti ya baadhi ya mikopo hivyo tunarudi tulipokuwepo. Usinijibu hili swali: Kwanini familia zenye utajiri mkubwa...
  3. Others

    JamiiForums Tanzania Hivi hili tatizo la njaa Afrika hatuwezi kulimaliza sisi wenyewe?

    Policies. Mataifa yenye nguvu na yaliyoingia ubia wa "Resources Sharing over Loans" kwa hizo nchi na nyingi Africa hata ya kwetu ikiwemo ni kuhakikisha umaskini hauishi ila unapunguzwq kwa speed ndogo sana ili serikali ziweze kutengeneza thamani ya uhitaji.
  4. Others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna namna wanawake supportive kwenye mahusiano wamekuwa nadra kupatikana

    Tatizo ni Makuzi. Katikati ukuaji wao wengi wameaminishwa kuwa hawana jukumu au deni katika kumhudumia na kumsaidia mwanaume. Kuna haja ya kubadili huu mtizamo kuanzia ngazi ya familia.
  5. Others

    JamiiForums Tanzania Kama kila kitu kina faida na hasara zake. Je, kuna faida gani za kuwa masikini?

    Yeyote aliye masikini wa hali na mali, ana muda mwingi wa kufanya mengi na fursa huru ya uchaguzi usio na kikomo. Kwa maneno machache nawiwa kusema; Ni ukweli usiopingika kuwa kuna faida nyingi zisizofikiriwa kwa kuzingatiwa na zenye manufaa kuliko ukilinganisha na tajiri.
  6. Others

    JamiiForums Tanzania Uzoefu wangu baada ya kutumia 5G smartbox kutoka Airtel

    Vodacom wana huduma ya unlimited kupitia hichi kifaa “NOKIA CPE” Tsh. 950,000/- aisee. Nimeshuhudia simu inasoma speed ya 800Mbps na hapo tumeunganisha watu zaidi ya 10. Jitahidi ujaribu hii. Maelezo mengine ya ziada waone wahusika ila huu ni Umeme mwingine tena ni hatari sana.
  7. Others

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mlevi wa kutazama vipindi vya wanyama ila huyu mnyama simpendi

    Venom and Bacteria: For a long time, it was believed that the Komodo dragon's bite was fatal due to a mouth filled with toxic bacteria. However, recent research has revealed that they have venom glands in their lower jaw. This venom contains compounds that prevent blood from clotting and cause a...
  8. Others

    JamiiForums Tanzania Mtu akifa anaenda wapi?

    Daah! Ila wewe Mdau. Nimekubali kwamba upo vizuri. Ahsante kwa shule nzuri. 🙏🏽
  9. Others

    JamiiForums Tanzania Mtu akifa anaenda wapi?

    Mbona kutishana tena!!? 😳
  10. Others

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa imenizawadia kiharusi

    Pole sana na unachoweza kuendelea kufanya ni hicho ulichoamua kufanya. Ni muda wa kitambo kidogo umepitia na umeshavumilia na sasa ni wakati sahihi wa kuboresha maamuzi ya kuishi maisha yanayoendelea katika hali hiyo ya kigonjwa gonjwa japo yatakua ni maisha mazuri na yenye ubora wa hali ya...
  11. Others

    JamiiForums Tanzania UDOM hao omba omba ndani ya chuo na Watoto wadogo wanaozagaa kwenye cafeteria hatuwaelewi, liangalieni hili

    Umeongea point kubwa sana japo naamini kuna baadhi ya wengine wenye Akili mgando na mitizamo tofauti hasa kuna wale ninaowachukia sana wenye dhana ya “wewe zaa watoto analea Mungu.” Ndiyo hawatakuelewa kabisa. Ni aibu kubwa sana ya kitaifa kwasababu UDOM haitoi huduma kwa wazawa tu. Kuna wakati...
  12. Others

    JamiiForums Tanzania Kwanini RC wasipite kuombea kila kijiji au familia wafanikiwe kimaisha?

    Wao wenyewe wamefanikiwa? Unafiki, Uchawa & Uzandiki vimekua vyeo vyenye malipo mazuri sana ila majukumu yake ya kazi ni ukubali kudhalilika.
  13. Others

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyotapeliwa na maagent wa KAZI za hotelini Zanzibar

    #Usinikumbushe.
  14. Others

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    04:52 “Usingizi umekua ni bidhaa adimu sana mjini.” (Rudia kusoma na tafakari utanielewa)
Back
Top Bottom