Vodacom wana huduma ya unlimited kupitia hichi kifaa “NOKIA CPE” Tsh. 950,000/- aisee.
Nimeshuhudia simu inasoma speed ya 800Mbps na hapo tumeunganisha watu zaidi ya 10.
Jitahidi ujaribu hii.
Maelezo mengine ya ziada waone wahusika ila huu ni Umeme mwingine tena ni hatari sana.
Venom and Bacteria: For a long time, it was believed that the Komodo dragon's bite was fatal due to a mouth filled with toxic bacteria. However, recent research has revealed that they have venom glands in their lower jaw. This venom contains compounds that prevent blood from clotting and cause a...
Pole sana na unachoweza kuendelea kufanya ni hicho ulichoamua kufanya.
Ni muda wa kitambo kidogo umepitia na umeshavumilia na sasa ni wakati sahihi wa kuboresha maamuzi ya kuishi maisha yanayoendelea katika hali hiyo ya kigonjwa gonjwa japo yatakua ni maisha mazuri na yenye ubora wa hali ya...
Umeongea point kubwa sana japo naamini kuna baadhi ya wengine wenye Akili mgando na mitizamo tofauti hasa kuna wale ninaowachukia sana wenye dhana ya “wewe zaa watoto analea Mungu.” Ndiyo hawatakuelewa kabisa.
Ni aibu kubwa sana ya kitaifa kwasababu UDOM haitoi huduma kwa wazawa tu. Kuna wakati...
Kwanza nawashukuru sana Uongozi wa JamiiForums katika kulisimamia hili. Na Pili, Naomba tushirikiane kupaza SAUTI KUU kwani sio Chuo hicho tu kuna na vingine vingi na hasa Chuo Cha Kibosho (Kibosho Institute of Health and Allied Sciences=KIBIHAS) zamani kilijulikana kama Kibosho School of...
Kuna namna nyingi nzuri na bora za kusaidia Kaya Maskini lakini Rais Mwinyi na Mama hawaamini katika njia hizo. Inawapasa wajifunze kutoka kwa Viongozi wa mataifa mengine waliwezaje kufaulu katika Changamoto hiyo.
Baba wa Taifa aliwahi kusema:
"Ukitaka kumsaidia Maskini, usimpe Fedha. Ipe Elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.