Recent content by oscer

  1. O

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    jamani msaada kampuni gani lakubet ambalo lina turbo cash out ukiachana na meridian maana app yao inazingua san na ukija pmbet wenyewe wana cash aut hadi ubet laki
  2. O

    JamiiForums Tanzania Mshiriki wa kilimo cha tikiti 2019

    Habari wana jamii natafuta patna ambae yupo sirious tufanyenae kilimo cha matikiti kwa msimu huu wa masika project ianze mwezi wa 12 /1/2019 itaisha mwezi wanne. Tutalima hekari 6 patna awe na vigezo vifuatavyo 1. Awe tayari kuishi karibu na shamba kwa siku 75 ambazo kufikia hapo tutakuwa...
  3. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

    Mbeya usangu
  4. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

    Hakuna kwanza ndo nasikia kwako kuwa ndege wanakula tikiti
  5. O

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Tikiti zipo ainabili msihangaike na makampuni kuna tikiti jeusi LA mviringo kabisa kama mpira hilo tikiti panda wakati wa kiangazi halitaki mvua wala ukipanda wakati wa mvua lazima ulie aina yapili tikiti lenye umbire LA yai hulo panda wakati wa mvua utafurahi Ila nalo ukipanda kiangazi...
  6. O

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Maelezo nimarefu sana in shot Kwahuku Mbeya Kukodi shamba 80,000 Kulima 50,000 Kupanda 50,000 Mbegu 70,000 kwa Palizi mbili 100.000 Msimamizi 250.000 Mbolea 180,000 Madawa jumla uwe na 250,000 Hizo ndo gharama nilizo tumia Mimi Kwa wastan wachini kabisa ukivuna utapata m 1.6 Wastani wajuu ni m4...
  7. O

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Yani kitunguu maji kinasumbua sana soko ndomana niliacha kulima yan dah
  8. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

    Huku. Dege Hanna kabisa huwa tunasikia redion
  9. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

    Huku kukatua 50,000 Kuvuruga 50,000 Kupanda 50,000 Palizi 50,000 Kukodi 100,000 Kuvuna 100,000 Hapo mpunga upomkononi mwako
  10. O

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naitaji kulima mpunga (saro), naitaji mawazo yenu

    Hio mbegu INA toa mazao mengi sana huku kwetu unaweza kutoa hadi gunia 40 kwa hekari sasa tatizo bei yak ni ndogo kuliko mpunga wowote ule sababu INA Michele mbaya sana
  11. O

    JamiiForums Tanzania Naenda kutafuta maisha Mbeya

    Karibu kaka huku ukiwa na akili na nguv utafanikiwa tu, kibiashara kwa kilimo na mambo menguna mkoa wetu una fursa nyingi zq kijana kuji kwamua kiuchumi karibu sana
  12. O

    JamiiForums Tanzania Jamani eeh, ninaombeni msaada wa haraka

    Emel gmail
  13. O

    JamiiForums Tanzania Jamani eeh, ninaombeni msaada wa haraka

    Wer hauta kuwanayo utakuwa unaingia kwenye imel itakuletea linki ukiingia unaona kila kitu
Back
Top Bottom