Naenda kutafuta maisha Mbeya

Naenda kutafuta maisha Mbeya

mkata-mkaa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
296
Reaction score
181
Wakuu habari zenu,

Wakuu nimeamua kwenda kutafuta maisha Mbeya. Sina ninayemfahamu katika mkoa huo lakini nina imani maisha ya kule yatakuwa sio magumu kama ya Dar.

Nimejiandaa ki akili naamini nitafanikiwa katika safari yangu ya kuanzisha maisha mapya.

WanaJF mnaoishi huko naombeni ushauri wenu.
 
umesema huna unayemfahamu, mbona sasa huombi sisi wenyeji tukakupokea mkuu ?
 
Karibu kaka huku ukiwa na akili na nguv utafanikiwa tu, kibiashara kwa kilimo na mambo menguna mkoa wetu una fursa nyingi zq kijana kuji kwamua kiuchumi karibu sana
 
Mkuu yakikushinda maisha dar basi una matatizo binafsi lasivyo ujitafakari!

mkoa huu hata ukifanya biashara ya supu ya ngozi ya ng'ombe unagombaniwa!
 
Ukifika pale Soweto kuna guest iko barabarani mkono wa kulia kama unatoka uyole muhudumu mmoja mweusi ana macho flani mtoto anaviuno hatari nusu niachwe na basi alfajiri
Asante mkuuu nakuja uko
Karibu kaka huku ukiwa na akili na nguv utafanikiwa tu, kibiashara kwa kilimo na mambo menguna mkoa wetu una fursa nyingi zq kijana kuji kwamua kiuchumi karibu sana
 
Ukifika pale Soweto kuna guest iko barabarani mkono wa kulia kama unatoka uyole muhudumu mmoja mweusi ana macho flani mtoto anaviuno hatari nusu niachwe na basi alfajiri
Du ..mkuu nime kusoma
 
Wakuu habar zenu.. wakuu nime amua kwenda kutafuta maisha mbeya ..sina ninaye mfahamu katika mkoa uo lakin nina iman maisha ya kule yatakuwa sio magumu kama ya Dar, nime jiandaa ki akili naamini nitafanikiwa katika safar yangu ya kuanzisha maisha mapya..wana JF mnao ishi uko naombeni ushauri wenu.
Dah...Nenda kajaribu bana...Dar watu wanatumia gesi .....wengi wameachana na habari ya mkaa😀😀😀
 
Nenda Chunya sehemu inayoitwa Makongolosi...... kajichanganye na vijana wa kazi wanao piga noti, hakika baada ya mwaka mmoja hutakuwa 'mkata mkaa' tena!
 
Ukifika pale Soweto kuna guest iko barabarani mkono wa kulia kama unatoka uyole muhudumu mmoja mweusi ana macho flani mtoto anaviuno hatari nusu niachwe na basi alfajiri
Naomba namba yake tafadhali next week naenda huko!
 
Kutafuta maisha kwa maana kwamba:
  • Una cheti cha kukuonesha umesomea ujuzi fulani ?
  • Una plani ya kwenda kufanya biashara?
 
Back
Top Bottom