Katika maisha haya, hakikisha unakuwa na "deal breakers" yaani mipaka fulani ambayo ikivukwa hakuna kurudi nyuma. Utajiepusha na mengi na akili yako itakuwa na uwezo wa kubadilika kiroho safi kuendana na mabadiliko.
Machungu ya kihisia mara nyingi husababishwa na saikolojia.
Ni muhimu kama nchi kuwekeza kwenye miundombinu ya ndani ya nchi inayoweza kusaidia kusambaza intaneti kwa matumizi ya ndani bila kutegemea kabisa waya wa baharini.
Pia, kuhakikisha njia mbadala za mawasiliano zinapatikana kwa ajili ya dharura
🙄
Asee una uwezo wa kununua iphone 13/14/15 alafu unachukua OPPO Reno 8 pro yenye chipset ya mediatek? kama kina infinix.
Uwezo wa simu unaanzia kwenye chipset then vinginevyo kama ram,storage, camera na network vinafuata, Uwe unafuatilia specifications za simu kabla hujanunua.
Ila kama ni...
Tuko na moja ya chama na serikali yenye ufisadi zaidi duniani. Na kila mtu anavumilia hilo.
Na mara tu mwanasiasa mwaminifu anapoonekana, kila mtu anaanza kumshambulia kwa mambo madogo ambayo hayana faida yoyote sababu hatuna ujasiri wa kweli wa kusimama imara.
Wakubwa wanatetea maslahi yao...
🙄
Early 30s ndio umri wenyewe wa ndoa. labda ungekuwa 40s uko kuwa na wasiwasi ingekuwa halali.
Cha msingi ukipata watoto hakikisha unawapambania ili wakifika 20s wawe na maisha yanayoeleweka.
Ila nikukumbushe ndoa tamu mwanzoni Yani ukimwambia mwenzio "nakupenda" unajibiwa kwa mahaba yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.