Recent content by Orche

  1. O

    Mama Lowassa aongoza Usafi Hospitali ya Mafiga

    Kwani huduma zilizotolewa zimetolewa kwa wa kkaskazini? hebu tuache yaliyomema yajitangaze yenyewe. Big up CDM
  2. O

    Uongozi wa CHADEMA Taifa huu hapa

    Hii ya CCM ni hatari utafikiri ni uongozi wa msikiti!!!!!!
  3. O

    Jua haya kwa usalama was kiafya

    Ni kweli pastic inayolainika kwenye joto ni mbaya sana kwa afya, hivyo tumia plastick kwa matumizi mengine na siyo kwa chakula.
  4. O

    CHADEMA yatangaza Baraza Kivuli la Mawaziri Jipya 2014 likihusisha vyama vingine!

    Kuna baadhi ya vyama vya upinzani si kambi rasmi ya upinzani ingawa ni wapinzani aka TLP, UDP ect.
  5. O

    Kanisa limekataa kusalisha ibada ya mazishi ya Mushi

    Biblia inasema wazi kwamba mtu akifa , kitabu chake kimefungwa hakuna kinachoongezwa wala kuondolewa, mpaka siku ya ukumu. Huduma inayofanyika wakati wa mazishi ni kwa waliyo hai, na kuwafariji wafiwa na si kwa manufaa ya marehemu. Yesu alisema wazi kwa sababu ya ugumu wa miyo ya wayaudi alilia...
  6. O

    Uongozi NICOL wamshangaa Felix Mosha

    Sasa uongozi huo wa muda watuambie kinachoendelea kupata uongozi kamili au na wao wamepata nafasi ya kutafuna?
  7. O

    Habari njema kwa watafutao kazi

    Kwa wanaotafuta kazi: Kazi: Electrical Technician (Diploma Holder or above) Company: Geita Power Ltd (Operating and Maintaining 40MW Diesel Power station at Geita Gold Mine) Send your application to: gpl.arvin.marinya@geitagold.com Location: Geita. Power station experiency is an added...
  8. O

    Habari njema kwa watafutao kazi

    Nafasi ya Kazi: Electrical Technician (Diploma holder or above) Company: Geita Power Ltd (Operate and Maintain 40MW Power Station at Geita Gold Mine, Geita.) Station: Geita. Number of Post: 2 Send your application to: gpl.arvin.marinya@geitagold.com Experiency for the power station work is...
  9. O

    Habari njema kwa watafutao kazi

    Nafasi ya Kazi: Electrical Technician (Diploma holder or above) Company: Geita Power Ltd (Operate and Maintain 40MW Power Station at Geita Gold Mine, Geita.) Station: Geita. Number of Post: 2 Send your application to: gpl.arvin.marinya@geitagold.com Experiency for the power station work is...
  10. O

    Sitta asema Wapinzani wana hoja muhimu,wasikilizwe!!

    Mtu mwenye akili lazima asikilize ndo atoe maamuzi, hivyo sita amesoma uso nyoso za watanzania kabla ya kusema.
  11. O

    MBOWE, LIPUMBA NA MBATIA, ni wanafiki na Maadui wakubwa wa Taifa hili. Tuwakatae kwa nguvu zote

    Mtoa Mada katunga hoja zake na kuwabandika viongozi hao wa upizani kuwa na ajenda zao, hili siyo vizuri. Naomba afuatilie ukweli wa hoja kabla ya kujaribu kutunga hinsa ndefu isiyo na ukweli. Matatizo yaliopo kwenye mswada wa sheria ya mabadiliko ya katibu ni nyingi hata wadau wengine ambao si...
  12. O

    Tahadhari: Epukana na Matapeli hawa

    Poa, msipende vya harakaharaka!
  13. O

    Midadi Imempanda Huyu

    Hizo ndo habari za siku za mwisho!
  14. O

    Wabunge wa CHADEMA karibu wote kusimamishwa kushiriki vikao vya Bunge kwa miezi sita

    Naomba mawazo hayo yapishe mbali yaiachie Tanzania AMANI!
  15. O

    Tujuzane!! Benki ikifilisika au kuungua moto wateja waliohifadhi hela zao inakuwaje??

    BOT kazi yao kubwa ni ku-monitor Banki zote ili kuona kama kuna hatari yoyote ya kupoteza fedha za wateja. Kwa hali hiyo BOT mara nyingi wanachukua usimamizi wa Benki kila wakiona dalili mbaya ya benki kufilisika ambayo ndiyo mbaya kuliko ajali ya moto. BOT wanayo kiwango cha juu cha kulipa...
Back
Top Bottom