Mama Lowassa aongoza Usafi Hospitali ya Mafiga

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
MKE wa aliyekuwa mgombea urais kutipia vyama vinavyounda umoja wa katiba UKAWA Regina Lowassa ameliongoza Baraza la Wanawake CHADEMA (Bawacha) mkoani Morogoro kufanya usafi katika Hospitali teule ya wazazi ya Mafiga.Mama Lowassa aliyeongonzana na Mwenyekiti wa baraza hilo taifa Halima Mdee pamoja na Mbunge wa viti maalum Devota Minja walifika katika hospitali hiyo majira ya saa tatu na kuanza kufanya usafi ikiwa ni pamoja na kufeka nyasi.

Mara baada ya usafi huo ambao pia uliwajumuisha akinana wa CHADEMA katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani Mama Lowassa aliwashukuru wanawake waliojitokeza kufanya usafi na kuwataka kuendelea kufanya hivyo kila mara.“Mwanamke anamchango mkubwa katika jamii nimeona ni jambo la bushara kujumuika na nyinyi katika Manispaa hii ili niweze kufaya usafi kwani kufanya hivyo ni kuonyesha umahili wa mwanamke katika jamii ya kitanzania”alisema Lowassa.

Mama Lowassa alisema kuwa kufanya kwake ufasi ni kuielimisha jamii kuwa mwanamke anamchango mkubwa hususani katika suala zima la utunzaji mazingira kwani kufanya hivyo kutasaidia kujiepusha na magonjwa ya milipuko.Aidha Mama Lowassa aliwatembelea wodi ya akina mama walijofungua na kuwapa pole ambapo pia alijionea changamoto mbalimbali katika hospitali hiyo na kuahidi kusaidia kuzipatia ufumbuzi wa kudumu.

Katika maadhimisho hayo kiongozi wa BAWACHA taifa Halima Mdee kwa kushilikiana na Mbunge wa viti maalumu mkoani hapa Devota Minja walitoa vifaa vya kuhudumia akina mama wajawazito vyenye thamani ya shilingi 5 Mln na elfu 20.Maara baadha ya tukio hilo Minja alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwani anatambua changamoto zilizopo katika hospitali nyingi hapa nchini ambapo alisema ataendelea kutoa misaada mbalimbali ili kutatua changamoto zilizopo hospitalini hususani kwa wanawake.

Aidha Minja alisema kuwa katika mahitaji ya hospitali hiyo ni pamoja na mashine ya Dropa ambapo alisema kuwa mashune hiyo kwa mkoa wa Marogoro imekosena na kuhaidi atainunua jijini Dar es salaam ili ailete hospitalini hapo.Sufuni Msuya ni Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo amewapongeza viongozi hao wa CHADEMA kwa kitendo hicho ambapo amewataka kuendelea kufanya hivyo ili kunusulu maisha ya akina mama wakati wa kujifungua.
 
.Mama Lowassa aliyeongonzana na Mwenyekiti wa baraza hilo taifa Halima Mdee pamoja na Mbunge wa viti maalum Devota Minja walifika katika hospitali hiyo majira ya saa tatu na kuanza kufanya usafi ikiwa ni pamoja na kufeka nyasi.

Sufuni Msuya
ni Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo amewapongeza viongozi hao wa CHADEMA kwa kitendo hicho ambapo amewataka kuendelea kufanya hivyo ili kunusulu maisha ya akina mama wakati wa kujifungua.

Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA
 
Kwani huduma zilizotolewa zimetolewa kwa wa kkaskazini? hebu tuache yaliyomema yajitangaze yenyewe. Big up CDM
 
Asante mama yetu kwa kuunga mkono juhudi za mheshimiwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Endelea hivyo hivyo na misaada ya fedha na mali iongezeke. Hawa ni watanzania wenzetu.

Queen Esther

MKE wa aliyekuwa mgombea urais kutipia vyama vinavyounda umoja wa katiba UKAWA Regina Lowassa ameliongoza Baraza la Wanawake CHADEMA (Bawacha) mkoani Morogoro kufanya usafi katika Hospitali teule ya wazazi ya Mafiga.Mama Lowassa aliyeongonzana na Mwenyekiti wa baraza hilo taifa Halima Mdee pamoja na Mbunge wa viti maalum Devota Minja walifika katika hospitali hiyo majira ya saa tatu na kuanza kufanya usafi ikiwa ni pamoja na kufeka nyasi.

Mara baada ya usafi huo ambao pia uliwajumuisha akinana wa CHADEMA katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani Mama Lowassa aliwashukuru wanawake waliojitokeza kufanya usafi na kuwataka kuendelea kufanya hivyo kila mara.“Mwanamke anamchango mkubwa katika jamii nimeona ni jambo la bushara kujumuika na nyinyi katika Manispaa hii ili niweze kufaya usafi kwani kufanya hivyo ni kuonyesha umahili wa mwanamke katika jamii ya kitanzania”alisema Lowassa.

Mama Lowassa alisema kuwa kufanya kwake ufasi ni kuielimisha jamii kuwa mwanamke anamchango mkubwa hususani katika suala zima la utunzaji mazingira kwani kufanya hivyo kutasaidia kujiepusha na magonjwa ya milipuko.Aidha Mama Lowassa aliwatembelea wodi ya akina mama walijofungua na kuwapa pole ambapo pia alijionea changamoto mbalimbali katika hospitali hiyo na kuahidi kusaidia kuzipatia ufumbuzi wa kudumu.

Katika maadhimisho hayo kiongozi wa BAWACHA taifa Halima Mdee kwa kushilikiana na Mbunge wa viti maalumu mkoani hapa Devota Minja walitoa vifaa vya kuhudumia akina mama wajawazito vyenye thamani ya shilingi 5 Mln na elfu 20.Maara baadha ya tukio hilo Minja alisema kuwa ameamua kufanya hivyo kwani anatambua changamoto zilizopo katika hospitali nyingi hapa nchini ambapo alisema ataendelea kutoa misaada mbalimbali ili kutatua changamoto zilizopo hospitalini hususani kwa wanawake.

Aidha Minja alisema kuwa katika mahitaji ya hospitali hiyo ni pamoja na mashine ya Dropa ambapo alisema kuwa mashune hiyo kwa mkoa wa Marogoro imekosena na kuhaidi atainunua jijini Dar es salaam ili ailete hospitalini hapo.Sufuni Msuya ni Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo amewapongeza viongozi hao wa CHADEMA kwa kitendo hicho ambapo amewataka kuendelea kufanya hivyo ili kunusulu maisha ya akina mama wakati wa kujifung
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA

JAMANI, MBONA UNA-FORCE WATU KURUDI KWENYE UKABILA. YAANI UNAANGALIA VITU KUPITIA ANGLE YA UKABILA MWAKA 2016???? WEWE NI PUUZI NA MPUMBAVU.
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA

Na Hapo Ndipo NINAPOWADHARAU Wana CHADEMA Humu Halafu WANANIKASIRIKIA. Moja Ya Sababu Kubwa Iliyokiangusha Hicho Chama Na Ule MSETO Wao Usiokuwa Rasmi Wa UKAWA Ni Kitendo Cha UKABILA Hasa UKASKAZINI Nikimaanisha Ukilimanjaro Na Uarusha Na Nakumbuka Kuna KIONGOZI Mmoja Tena MWANDAMIZI Tu Wa CHADEMA ( Sitomtaja Kwa Sasa Ili Kumlindia Ulaji Wake Hapo CHADEMA ) Alinitamkia Kabisa Kuwa KITENDO CHA WAO KUJAZANA KAMA SISIMIZI WATU WA KILIMANJARO NA ARUSHA NDANI YA CHADEMA KUMEWAGHARIMU SANA NA KWAMBA IPO HAJA SASA WAKATI UCHAGUZI UMEMALIZIKA KULIANGALIA HILI KIUNDANI NA IKIBIDI BASI KULITAFUTIA NAMNA YA KULIONDOA. CHADEMA Hebu " Jishtukieni " Basi Kwani HII SUMU YA UKANDA WENU HUO IMESHAWAMALIZA, INAWAMALIZA NA ITAZIDI KUWAMALIZA.
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA
hatamie nashangaa, ila kwenye ishu ya hela hawana ushirika kabisa ona wanazosukumana kwenye umeya kule dar.
 
Na Hapo Ndipo NINAPOWADHARAU Wana CHADEMA Humu Halafu WANANIKASIRIKIA. Moja Ya Sababu Kubwa Iliyokiangusha Hicho Chama Na Ule MSETO Wao Usiokuwa Rasmi Wa UKAWA Ni Kitendo Cha UKABILA Hasa UKASKAZINI Nikimaanisha Ukilimanjaro Na Uarusha Na Nakumbuka Kuna KIONGOZI Mmoja Tena MWANDAMIZI Tu Wa CHADEMA ( Sitomtaja Kwa Sasa Ili Kumlindia Ulaji Wake Hapo CHADEMA ) Alinitamkia Kabisa Kuwa KITENDO CHA WAO KUJAZANA KAMA SISIMIZI WATU WA KILIMANJARO NA ARUSHA NDANI YA CHADEMA KUMEWAGHARIMU SANA NA KWAMBA IPO HAJA SASA WAKATI UCHAGUZI UMEMALIZIKA KULIANGALIA HILI KIUNDANI NA IKIBIDI BASI KULITAFUTIA NAMNA YA KULIONDOA. CHADEMA Hebu " Jishtukieni " Basi Kwani HII SUMU YA UKANDA WENU HUO IMESHAWAMALIZA, INAWAMALIZA NA ITAZIDI KUWAMALIZA.
Sasa Mkuu wewe ambaye si Mkaskazini na wengineo mjijenge basi mwisho wa siku ukachukue uongozi pale CHADEMA au utuambie ni kiongozi wa kutoka kanda zingine ambaye anatosha kuongoza CHADEMA kwa kuonyesha kuijenga CHADEMA ndani ya Mkoa wake, wilaya yake, Jimbo na na hata katani. Halafu niambie pia Tanzania kuna zaidi ya vyama 17 vingine vya Upinzani ambavyo haviongozwi na watu wa kaskazini. Je hivyo vina Ushawishi wa kiasi gani kwenye siasa za Tanzania na vimevuna nini kwenye Uchaguzi wa 2015? Ukimaliza hapo niambie pia kwanini mawaziri wakuu wengi wastaafu walitoka kaskazini hasahasa Arusha na Moshi wakati kuna mikoa haijawai kutoa hata waziri Mkuu mmoja mfano: Edward Lowasa, Fredrick Sumaye,Moringe sokoine(Mkoa wa Arusha), Cleophas Msuya-Kilimanjaro, pia kwanini malecturer, wanasheria, wafanyabiashara, madaktari wengi wanatoka uchagani? kwanini viongozi wengi wa mashirika ya umma ni wachaga?(HAO WOTE WAMEZALISHWA NA KUSHIKA NYADHIFA WAKIWA CHINI YA CCM)
Halafu niambie kwanini Ukoo wa viongozi wa CCM umejaa kwenye uongozi wa serikali mgano: Makamba na wanae, Mwinyi na wanae, Warioba na wanae, Sita na mke wake na wanae,Nyerere na wanae,Malecela na wanae,Karume na wane, Mzee nape na mwanae .......mpaka nachoka Nipe sababu. Sababu utakazonipa hazitafanana na za Wakskazini kujazana CHADEMA?
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA
Maskini ukaskazini una kuuma eee, lakini jua mama lowasa si wa kaskazini, ila jiulize kwa nini kila kitu kizuri kinapofanyika lazima uangalie ukanda, hii ni ishara unawakubalki watu wa kaskazini.
 
Asante mama yetu kwa kuunga mkono juhudi za mheshimiwa Rais wa 5 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Endelea hivyo hivyo na misaada ya fedha na mali iongezeke. Hawa ni watanzania wenzetu.

Queen Esther
Magufuli ndio kaiga usafi wa watu wa Kaskazini , umeona mji wa moshi una vyoongoza kwa usafi? au magufuli alisha kuwa mkuu wa wilaya ya moshi? Haahaa usafi kaskazini ni jambo la kawaida Magufuli kajifunza huko akalifanya la kitaifa wengine waige.
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA
Yaani hilo nalo unaona wivu vp wangeanzia huko kaskazini si ungeongea sana mpaka kujinyonga
 
Hebu ona majina kwenye hiyo rangi nyekundu.Hata kwenye usafi tu mnajazana watu wa kaskazini watupu!!!! UKANDA WA KASKAZINI NALO NI JIPU NALO LA KUTUMBUA
Halafu nawe pia ni tegemeo la CCM mtandaoni. Kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom